KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, June 29, 2013

NDOA NYINGI HIVI SASA ZINA VUNJIKA KUTOKANA NA UTAMADUNI WA KIGENI

Ndugu mtazamaji na msomaji wa Blog hii napenda kukupa kitu kipya ambacho huenda huja kifikilia au kukiwaza. Kwa utafiti nilio ufanya kwa kutembea nchi za Afrika mashariki na ya kati imeonyesha kuwa ndoa nyingi zina vunjika kutokana na kukosa mawasiliano kati ya mama na baba wakati wa kupumuzika usiku,

Naomba nikurudishe utafiti nilio fanya ndoa za vijijini kwa asilimia 25% zina vunjika kwa sababu ya tabia. lakini ndoa asilimia 80% kwa watu wanao kaa mjini ni ukosefu wa mawasiliano ya kimwili, Hebu ona ukubwa wa kinda hicho wana lala watu wawili wakigombana kila mmoja ana lala kwakwe jee mahusiano yana weza kurudi kwa mtindo huo.

Nirudi vijijini kuna vitanda vina itwa Teremuka Tukaze Vitanda hivi vime kuwa chanzo cha suluhisho la ndoa mtu akigombana na mke wake wakija kulala wote hutumbukia kwenye kitanda na tofauti zao zina anza kwisha toka wakati huo. Hivyo tujue Ukiwa na kitanda cha 6x6 .5x6, ujue ndoa yaklo una iweka Hatarini Jaribu kufanya ufumbuzi mara moja ili ndoa yako idumu, Hayo nimawazo yangu mimi niliyo ya tafiti kwa kipindi cha miaka 30 samahani sikipata kitanda cha Teremuka tukaze ni kikipata nita weka ili ulinganishe na mawazo yangu

No comments:

Post a Comment