KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, November 26, 2013

NCHI ZA AFIRIKA NA UTENGAMANO KATIKA KULETA MAENDELEO KWA NCHI ZAO

Porofesa Arine Makanze akitoa mada kuhusu maendeleo ya nchi za Africa Mashariki kuhusu wa Maendeleo ,Akibaini kuwa Nchi za Afirica zina takiwa kukimbia ili kuya fikia Maendeleo
 Mkuu wa wilaya ya Arusha John Mwongara akifungua Mkutano wajibu wa Asasi katika kuimarisha mtengamano wa Jumuiya za Afica Mashariki na ya Kati, Amezitaka Nchi hizo kuwa na Umoja Mshikamano na Upendo wa Dhati katika kuleta Maendeleo kwa Nchi zao
 Wajumbe mbali mbali wakiwa katika ukumbi wa AICC Arusha wakijadili mkabala wa kuyweza kuimarisha mtengamano wakuwezesha kuleta maendeleo katika Afirika Mashariki
 Mjumbe kutoka Mkoa Ruvuma Isaca Msigwa akiwa katika ukumbi wa  AICC Arusha katika mkutano wa utengamano wa Nchi za Africa Mashari Burundi Rwanda Tanzania na Kenya
 Mjumbe kutoka Mkoa wa Ruvuma Adamu Nindi akiwa na Jamii  ya Wafugaji Wanawake katika ukumbi wa kimataifa AICC Arusha
 Mjumbe kutoka Mkoa wa Ruvuma Adamu Nindi akiwa na jamii ya wafugaji Jijini Arusha kuhudhulia Mkutano wa Jinsi ya Kuzifanya Nchi za Africa Mashariki kusonga mbele kiuchumi na usalama wa nanchi wakewa
r
 Wajumbe katika ukumbi waAICC wakimusikiliza Mkuu wa Wilaya ya Arusha John Mongela Mkutano ulio jumuisha nchi za Africa
Mjumbe kutoka The Foundation Loitare akibadilishana mawazo na washiriki katika ukumbi wa AICC Arusha

No comments:

Post a Comment