KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, November 12, 2013

TAMASHA LA KUMI NA MOJA LA ASASI ZA KIRAIA NCHINI TANZANIA CHINI YA UFADHILI WA FOUNDATION KUANZIA TAREHE 13 - 15 MWEZI WA 11 2013/11/2013

 Washiriki wa Tamashasha la AZAKI Tanzania wakiwaki katika Majadiliano ya pamoja kujadili Mafanikio na Matarajio ya kazi za AZZAKI Miaka 10 iliyopita 2003 - 2013
Wajumbe wa AZAKI kutoka Tanga wakiwa katika kujadili Tathmini ya Miaka 10 ya kujenga uwezo wa Asasi za Kiraia Tanzania katika Ukumbi wa Ubungo Plaza.
Wajumbe wawakilishi wa mitandao ya Asasi zisizo za Kiserikali Tanzania wakiwa Ukumbini UBUNGO PLAZA kusherekea Mafanikio ya Miaka 10 ya Kazi za FOUNDATION wanaoonekana watatu kulia ni wajumbe toka Mkoa wa Ruvuma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Gharib Bilal akikagua Mabanda ya Chama cha Walemavu walioshiriki katika Tmaasha la 11 la Asasi za Kiraia Tanzania
Washiriki kutoka Pemba Zanzibar walio kuja katika Tamasha la Miaka 10 toka ilipo anzishwa The Foundation hapo  wana pata Chakula katika Ukumbi wa Blue  jijini Dar -es - salaam
Washiriki katika Tamasha la The Foundation katika ukumbi wa Blue Pearl  wa kijadili jinsi ya kuweza kuinua elimu katika Tanzania
Washiriki katika Tamasha la 11 lililo fadhiliwa na The Foundation wakajadili jinsi ya kuweza kuinua kiwango cha Elimu Nchini Tanzania
Mjumbe kutoka Zanzibar Akitoa Tarifa jinsi alivyo fanikiwa kuanzisha Madrasa ambapo alianza na
Madrasa 6 hadi kufikia madrasa 32
 Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Mh. Dr Mohamed Ghalib Bilali akiwa kukagua Mabanda wakati wa Tamasha miaka 11 ya Foundation
Makamu wa Rais Wajamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dr Mohamed Ghalib Bilali akiendelea kukagua Mabanda katika ukumbi wa Blue Pearl Hotell &Apartments
 Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Foundion for Civil Society John Ulanga akibadilishana mawazo na wajumbe wa Foundation wa kati ni Bw. Visent na wa mwisho kushoto ni Batholomayo Mbilinyi ndani ya Ukumbi wa Blue Pearl (Ubungo Plaza)  Jijini Dar es salaam
H
 Baadhi ya wajumbe kutoka Mikoa mbalimbali walioshiriki Tamasha la Asasi za Kiraia kusherekia miaka kumi na Moja ya kujengea uwezo Asasi za Kiraia. Wa pili kulia ni Mjumbe kutoka Tanga wa shirika la TANGO Bw. Zaa Nyingi Twalangeti.
 Wajumbe wa Asasi za Kiraia kutoka Mikoa ya Tanzania Bara na Visiwani wakiwa katika ukumbi wa Blue Pearl kusherekea Miaka kumi na moja  ya kujenga uwezo wa Asasi za Kiraia Jijini Dar es Salaam
 Wajumbe wakiwa Ukumbini Blue Pearl (Ubungo Plaza) kufuatilia mafanikio ya Miaka kumi na moja ya Asasi za Kiraia. Kutoka kulia wa kwanza ni Dr. George Kiama anayefuata ni Burhani Yakub Mratibu wa TARUJA na mwandishi wa Gazeti la Mwananchi kutoka Tanza anayefuata ni Makamu Mwenyekiti wa RUNECISO na Mwandishi wa Blog hii pia anaandikia  Star TV na RFA Songea , wanaofuatia katikati Wajumbe kutoka Mkoa wa Ruvuma.
Wajumbe kutoka Mkoa wa Ruvuma wa kwanza kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Ruvuma Network Of Civil Society (RUNECISO) Bw. Adam Nindi wakiwa katika Tamasha la Miaka Kumi na moja
Bwana Beda Msimbe akiwa na wageni wake kutoka Ruvuma wa kwana kulia Benad Lwena kutoka wilaya ya mbinga, wapili ni Ifigenia Mbawala na aliye shika begi ni Adamu Nindi

No comments:

Post a Comment