KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, November 21, 2013

NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO AMEZITA ASASI KUENDEZA JINSI YA KUWA KWAMUA WANANCHI WALIOKO VIJIJINI

 Naibu waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Ummi Mwalimu akiwa na Mkurugenzi mtendaji wa The Foundation John Ulanga katika gha fupi ya kuzitunukia Asasi zilizo fanya vizuri
 Mkurugenzi mtendaji wa The Foundation John Ulanga akibadilishana mawazo na Raia wa The Foundation
 Mkurugenzi Mtendaji wa The Foundation John Ulanga akieleza kwa ufupi fedha zilizo tumika katika kuleta maendeleo .amesema zaidi ya shilingi bilioni 60 zime tumika kwa nyanja mbalimbali
washiriki kutoka Mkoa wa Ruvuma wakiwa katika ukumbi wa Ubungo Plaza wakisikiliza mafanikio mbalimbali yaliyo patikana katika kumwwondolea umasikini mwananchi nchini Tanzania

No comments:

Post a Comment