KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, January 15, 2014

MIKAKATI YA TENESCO KUHUSU UMEME MKOANI RUVUMA

 Engineer Boniface Njombe akitoa Elimu kwa Wandishi wahabari jinsi Umeme unavyo fanya Kazi akiwa na wafanyakazi wa Tenesco
 Engineer Boniface Njombe akionyesha mashine zilizoko Katika Mtimbo iliyoko Kiblangoma Manspaa ya Songea
 Engineer Boniface Njombe akicheza na Watoto eneo la Magagula Songea vijijini
 Alipo ulizwa jinsi gani anajisikia kucheza na watoto Engineer alijibu kuwa hujisikia vizuri kucheza na watoto kwa kuwa hata yeye alipata malezi mazuri kutoka kwa watu tofautofauti jambo lililo mpa ujasiri alio nao hadi leo


 Changamoto zipo pale unapo taka kitu kizuri hata Asali ni Tamu lakini utengenezaji wake ni mgumu ukiwa uliza nyuki kufika Tulila Chipole ni kazi hapo  Gari la Engineer Boniface Njombe lime kwama katika mlima Magagula songea vijijini ili chukua saa moja kuli kwamua
 Jopo la walatamu wa Umeme kutoka kulia ni Engineer Boniface Njombe anaye fuatia ni Mtawa Hisani Mhagama aliye kati ni Engineer Ake Aurebekk na anaye fuata ni Mhandisi chui na wa mwisho ni msaidizi wa meneja wa Tenesco Songea
 Engineer Ake Aurebekk akionyesha jinsi bwawa la umeme litakavyo jengwa eneo la Tulila

maporomoko ya maji katika mto Tulila yanayo jengwa kwaajili ya uzalishaji Umeme

Waandishi wahabari kutoka vyombo mbambali wakipata chakula baada ya kazi kubwa ya kutembelea mporomoko ya maji katika kijiji cha Tulila  ambayo yana jengwa kwa ajili ya kufua umeme

No comments:

Post a Comment