KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, January 9, 2014

NAIBU MKURUGENZI BONIFACE NJOMBE AELEZA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA UMEME MKOA WA RUVUMA

 Naibu Mkurugenzi wa Tenesco Boniface Njombe akiongea na wandishi wa Habari Jinsi Shirika la Tenesco lilivyo jizatiti kuondokana na Tatitizo la Umeme Mkoani Ruvuma. [1].Kufanya matengenezo ya Mara kwa mara kwa Mashine zinapo haribika. [2] Kupanua wigo kwa kuungana na wadau wanao zalisha Umeme katika Mkoa wa Ruvuma kama tulivyo jaza Mkataba na Masista wa Chipole kupata MG 7 za Umeme.[3] Kuunganishwa Umeme wa Taifa kutokea Makambaku kuja Ruvuma akatika uunganishaji huo Vijiji 200 vita Faidika na Umeme wa Taifa ambao haukati ovyo ovyo
 Meneja wa Tenesco Mkoa wa Ruvuma Timoth Ramadhani akiwa katika kikao na waandishi wa Habari amekiri kuwa Mgao wa Umeme Manspaa ya Songea ni changamoto kwake Mali ya Wananchi kukosa umeme kwa wakati mwafaka lakini hata shirika hukosa Mapato ,Ameomba uvumilivu wakati Shirika la Tenesco likitafuta njia ya kuondokana na Tatizo hilo,
Naibu Mkurugenzi wa Boniface Njombe amesema wale wote walio kuwa wakingpja kufungiwa Umeme kwa ukosefu wa Nyaya ,Nguzo Pamoja na Mita hivi sasa Wafanyakazi wa Tenesco wako kazini, Wateja watafungiwa umeme kutokana na jinsi walivyo wahi kulipia

No comments:

Post a Comment