KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, August 19, 2015

WAJUE WA GOMBEA UBUNGE KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUVUMA HAWA HAPA

          Madiwani wa viti malumu wakiwa katika ofisi ya Mkurugenzi wa Uchaguzi Jimbo la Songea
 Mgombea jimbo la Songea kupitia Chama cha Mapinduzi akisoma Fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Songea
 Mgombea Ubunge Kutoka Tunduru kupitia Chama Cha Mapinduzi Injinia Ramo Makame jimbo la Tunduru kasikazini
                                                        Mgombea kutoka jimbo la Mbinga Mjini
                           Mgombea Ubunge Jimbo la Peramiho Mh, Jenista Mhagama
                                                 Mgombea Ubunge Jimbo la Madaba ndugu Ngonyani

Mgombea kupitia Jimbo la Songea Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi CCM , Leonidas Gama amewaomba wagembea kupitia ccm kuacha kumzungumzia Mtu bali wajikite katika kutangaza Sera za Chama cha Mapinduzi.
Madiwani ka katibu wa CCM Songea Mjini wamesema wako viongozi walisukumwa kilometa mbili lakini hawajaiona ikulu hivyo nguvu ya CCM ina tegemea Mungu na wana CCM  walio Imara.

Mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Songea Mjini Zacharia Nachoa amewataka wagombea Jimbo la Songea kuwa makini na kauli zao katika kufanya Kampeni.

Mkurugenzi wa Uchaguzi Jimbo la Songea Mjini amesema, historia ya Jimbo la Songea limekuwa na Ustaarabu katika chaguzi zote, hivyo anategemea kuwa wagombea watatii  na kufuata taratibu na kanuni kwa  kujinadi kwa  ustarabu bila kuleta chuki .

Mkurugenzi wa Uchaguzi Jimbo la Songea Mjini Zacharia Nachoa amesema , mpaka sasa vyama vilivyochukua fomu za Ubunge ni chama cha ACT Wazalendo na CCM, ambapo upande wa CCM ni Leonidas Gama na ACT  aliye chukua fom ni  Msabila Msabila.
 Wana CCM  Wakipeana mawazo kuhusu mfumuko wa wimbi wa kisiasa jinsi gani ya kukabiliana nayo
 Mariamu Simba akitabasamu baada ya kuona chama chake cha CCM kinavyo jiamini katika Uchaguzi Mkuu
                                 Wadau  wa CCM  Wakiwa na mawazo mengi kutathimini kuhusu uchaguzi
                                                Madawani wa Viti Malumu Kupitia CCM
Nimoja ya kufurahia uongozi , Uongozi ni Karama kutoka kwa Mwenyezi Mungu cha Muhimu ni Hawa Viongozi kuwa waadilifu

No comments:

Post a Comment