KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, August 25, 2015

KAMPENI ZA UCHAGUZI MKOANI RUVUMA


Mgombea Udiwani Kata ya Msamala wilayani Songea Isaack Lutengano akiwa kwenye Kampeni kwa kutumia Mabango ya Vivesheo vya Tayari.

Wagombea  kupitia Chama cha Mapinduzi  Mkoani  Ruvuma wametakiwa kuchagua Viongozi ambao wataleta Maendeleo na siyo kuchagua Kiongozi kwa sababu ya  Umarufu wa Jina.

Mgombea Udiwani Kata ya Msamala kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Isaack  Lutengano amesema vijana walio wengi wapo katika mpango wa kutaka Mabadiliko lakini lazima wawe makini katika Mabadiliko hayo, wasichague Viongozi ambao hapo baadaye watajijutia. La msingi ni wao Vijana kuangalia Viongozi watakao ondoa Kero zao.

Mjumbe wa kamati ya Siasa Wilaya ya Songea OSAMU ULAYA akiwa na Bango la Mgombea Udiwani Kwa tiketi ya CCM wa Kata ya Msamala.

Wanachama wa CCM wakiunganisha nguvu kwa ajili ya Ushindi hapo Oktoba 25.

Mjumbe wa kamati ya Siasa Wilaya ya Songea OSAMU ULAYA akiwa na Bango la Mgombea Udiwani Kwa tiketi ya CCM wa Kata ya Msamala.

Mke wa Mgombea Udiwani Shada Haule akiomba kura kwa wajumbe kwa ajili ya Mumewe.

  Mgombea udiwani Kata ya msamala Isaack Lutengano akipata usingizi baada ya kukesha kufanya kampeni za Uzinduzi Rasmi wa kuanza kampeni
 Mgombea Udiwani kwa Tiketi ya chama cha Mapinduzi Kata ya Msamala Manispaa ya Songea akihutubia wananchi jinsi atakavyoendeleza Kata ya Msamala ikiwa ni pamoja na Kufungua Saccos, Vituo vya Mafuta na kuunda Vikundi mbalimbali.

Mwenyekiti wa CCM Kata ya Msamala Filipo Shemtembo akizindua Kampeni Kata ya Msamala.

Akina Mama wakisikiliza Sera mbalimbali kutoka kwa Wagombea wakati wa Ufunguzi wa Kampeni.

Madiwani watarajiwa wa Viti Maaluma Kata ya Msamala Asia Chakwela na Hapiness Haule wakiwa wamepiga magoti huku wakiomba wafanikiwe ushindi katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

Akina Mama wakisikiliza Sera mbalimbali kutoka kwa Wagombea wakati wa Ufunguzi wa Kampeni.

No comments:

Post a Comment