KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, August 20, 2016

MATATIZO YA MIZANI WILAYA YA TUNDURU YAWA CHANGAMOTO KWA WAKULIMA


WAKULIMA MKOA WA RUVUMA WAMESHAURIWA NA WAKALA WA  VIPIMO KUTUMIA MIZANI ZILIZO KAGULIWA NA SEREKALI ILI KUEPUKA CHANGA MOTO ZA KUUIBIWA MAZAO YAO


Meneja wa vipimo mkoa wa Ruvuma Hasani  Halletu amewaomba wakulima pale wanapo ona mfanya bishara au mtu yeyote ana tumia mzani usio kaguliwa watoe tarifa mara moja


Watalalamu hao wa vipimo wamesema njia ya kugundua kama mizani ni salama ni kuangalia tarehe ya kukaGuliwa na kuona kama mizani ina cheza vizuri alama za kukaguliwa ni Mhuri wa mwaka ilipo kaguliwa na nembo ya serekari inayo gongwa.

Wakulima wa wilaya ya Tunuru wametakiwa kuwa makini wanapo kwenda kuuza mazao yao kwa kuhakikisha Mizani ziko salama hazina ubovu  Kauli hiyo imetolewa na mawakala wa vipimo kutoka Dar es alaam wa kishirikiaani ni salamana na mawakala wa vipimo kutoka mkoa wa Ruvuma walipo kuwa wakikagua mizani zinazo tumika kupimia mazao ya wakulima na kubaini kati ya mizani 5 zilizo pimwa tatu ni mbovu

Nao wakuliwa wawilaya ya Tunduru wakionyesha elimu ilivyo waingia walieleza jinsi somo la mizani lilivyo waingia  kwa kufafanua kama ifuatavyo

Wakulima wakionyesha jinsi ya kuweza kutumia Mizani na pia kujua kama wanaweza kuuza mazao yao kwenye mizani mbovu

No comments:

Post a Comment