KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, August 20, 2016

TUANGALIE NINI KAFANYA MKUU WA MKOA MPYA DR BINILITH SATANO MAHENGE BAADA YA KUANZA KAZI RUVUMA

Masikini Mkuu wa Mkoa wa Ruvumah Dr Binilith Satano Mahenge mara baada ya kuchaguliwa kuwa mkuu wa mkoa alipata tufani la kufiwa na wanchi wake tisa katika mto Ruvuma ulioko Mkenda mpakani mwa Msumbiji na Tanzania hapo mkuu wa Mkoa akiwa katika boti lililo sababisha watu tisa kupoteza maisha na yeye alipanda boti hilohilo kutafuta miili ya watu walio kufa maji
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr Binilith Satano Mahenge akiapishwa na Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kuchukua nafasi iliyo achwa wazi na aliye kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Thabiti Mwambungu hapo tarehe 29/6/2016
Mkuu wa Mkoa Dr Binilith Satano Mahenge akitia sahihi katika wilaya ya Namtumbo tayari kwa kukagua miradi ya Maendeleo ikiwemo machimbo ya Uranium One kwenye campuni ya Mantra
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma akionyesha ushirikiano wa kutafuta miili ya watu walio pinduka na boti tarehe 27/6/2016
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akitoa maelekezo jinsi ya kutafuta miili ya waqtu 9 walio tumbukia katika mto Ruvuma
waokoaji wakiwa wana fanya kazi usiku na mchana chinh ya uongozi wa mkuu wa Mkoa Dr Binilith Satano Mahenge
Uongozi wa Mantra ambao una fanya utafiti wa Uchimbaji wa Uranium ukiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr Binilith Satano Mahenge kwenye eneo la mgodi Namtumbo

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr Binilith Satano Mahenge akifyatua Tofali kuonyesha njia kuwaq ndani ya miezi 4 kusiwe na Shule itakayo kosa Matundu ya Vyoo hapo yupo Madaba Songea Vijijini
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Binilith Satano Mahenge qalipo tembelea Mbugu Seruu alishuhudia Mafuvu ya Tembo ya kiwa Nyikani
 Katika kuhakikisha usalama wa Msafara wa Mkuu wa Mkoa  Police ina onyesha ikisaidia Doria katika mbuga za Seru
Siyo kazi rahisi kutembelea Machimbo ya Uranium baada ya polopoganda nyingi kuhusu athali zinazo patikana kushika au kuona Madini hayo lakini Mkuu wa Mkoa Dr Binilith Satano Mahenge a
lienda mpaka kwenye Mifereji iliyo na Uranium

Mbeleyako ni Mti wa Mtetereka ambao ukizeeka hugeuka kuwa jiwe na Zaidi ni Mti ambao wazee wa Zamani walishauri usitumilke kwa kupikia kwa sababu mbalimbali za kibinadamu ukitaka maelezo zaidi ni pigie simu
Mkurugenzi wa Mantra akitoa maelezo kuhusu Uranium jinsi itakavyo ongeza uchumi wa Tanzani kwani izaweza kuongeza kipato kwa asilimia % 4
Mkuu wa Mkoa akiwa Namtumbo aliweza kutemelea kaya masikini jinsi wanavyo faidika na fedha hizo changamoto iliyo jitokeza ni kurudishwa kwa fedha pale wahusika wasipo fika
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amegiza kwa Viongozi wa Tasafu kuhakikisha hakuna fedha inayo Rudi
Mkuu wa Mkoa akiwa katika Makitaba ya Sekondari ya Seruluu ambayo ina hudumiwa na Mantra wa chimbaji wa Uranium Wilaya ya Namtumbo
                Fuvu la Tembo likiwa lime Tolewa Meno katika hifadhi ya Seluu Wilaya ya Namtumbo

No comments:

Post a Comment