KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, May 18, 2017

NYUMBA BORA YA WAGENI MKOANI RUVUMA PAPOK HOTEL

 Mkuu wa wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema amekuwa akisistiza mara kwa mara wananchi kuwekeza katika Utalii kama alivyofanya Mwekezaji wa Nyumba ya Wageni ya PAPOK kwa kujenga nyumba safi ya kulala wageni ambayo inavutia wageni kuja kulala pasipo na shaka ikiwa ni kuitikia wito wa Serikali wa kukuza uwekezaji kuendana na uchumi wa Viwanda.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Nyasa Dr. Osca Albano Mbyuzi amewataka wananchi wa Mkoa wa Ruvuma na wazawa wa Wilaya ya Nyasa kuwekeza kwa kasi Nyumba za kulala wageni katika Mwambao wa Ziwa Nyasa kama ilivyo Nyumba ya Wageni ya PAPOK ukizingatia wilaya ya Nyasa ina fursa nyingi za utalii ambazo sizku zijazo zitaingiza pato kubwa kupitia wageni mblimbali wa Nje na ndani ya Nchi.  
 Ukiangalia kwa mbali utaona Magari aliyo egeshwa ya kionyesha kuwa pambo la la nyumba hiyo ya kulala wageni ina uhakika wa ulinzi, ili kufika hapo wasiliana kwa namba ya Simu 0753 495 161 utafika katika nyumba hiyo ya PAPOK HOTEL
 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Dr Binilith Satano Mahenge akiwahimiza watanzania kuja Ruvuma kuangalia vivutio vilivyoko Mwambao wa Ziwa Nyasa, Milima ya Mbuji, Fukwe za ziwa Nyasa, Pamoja na visiwa vya Pomonda,Lundo na visiwa vya Mbambabay bila kusahau ukiwa Songea utakutana na Nyumba za wageni ikiwa ni pamoja na GEST HOUSE YA PAPOK iliyoko Mtaa wa CCM
 Meya wa Manispaa ya Songea Alhaji Abdull Shaweji akielezea vivutio vya Manspaa ya Songea ikiwemo na  PAPOK
 Mkoa wa Ruvuma kwa sasa hakuna shida ya usafiri wa Anga umeshaanza hivyo kuwepo kwa  PAPOK GEST HOUSE Kumeongeza kutokuwa na ufinyu wa nyumba za wageni
  PAPOK GEST HOUSE ni moja ya kivutio cha Mkoa wa Ruvuma usisikie kwa kuambiwa, wale ambao hawajatumia lifuti basi wanaweza kutembelea kuangalia jinsi unavyoweza kupandishwa juu na Mashine za kisasa ukiwakatika Gest ya PAPOK
 Afisa kilimo wa Halmashauri ya Songea Vijijini Nyakunga akielezea fursa za uchumi kupitia Mazao yanayo patikana mkoani Ruvuma, zaidi ya Tani milioni moja za nafaka ya Mahindi hupatikana kila Mwaka baada ya  mavuno amesema nivizuri ukafanya utalii wa Ndani kwa kulala  PAPOK HOTEL
Moja ya vivutio ni mapambo ya mawe meupe ambayo ufikapo Songea uta kutana nayo bila kusahau kufikia nyumba ya wageni ya  PAPOK
Nyumba ya wageni ambayo imeongeza umaarufu wa Mkoa wa Ruvuma iitwayo PAPOK ni pambo zuri pia ni nyumba yenye vigezo vyote kwa ajili ya kulala wageni Maarufu na watalii wale wenye uwezo wakufanya utalii ndani ya nchi wanapaswa kujenga utamaduni wa kutumia fursa hii badala ya kutegemea watalii kutoka nje ya mkoa pekee ni vizuri kukithamini cha kwako kwa kuwaunga mkono wawekezaji wa aina hii.
Meneja wa wakala wa Huduma za Mazao ya Misitu wilaya ya Songea Manyisye Mpokigwa akiwa katika maswala ya utalii na wageni aliokuwa nao wakisifu nyumba ya wageni iliyoko mtaa wa CCM Manispaa ya Songea iitwayo PAPOK

No comments:

Post a Comment