KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, February 20, 2013

BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJIWANANCHI KIUCHUMI LA DHAMINI VYAMA VYA USHIRIKA NA KUWEZA KUKOPESHWA SHILINGI BILIONI 8 .5

Washiriki wa Semina ya Ujasiliamali katika Kijiji cha Mapipili Kata ya Kitumbalomo Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma wakisikiliza mada za ujasilia mali zilizo tolewa na Baraza laTaifa la uwezeshajiWananchikiuchumi

Afisa Mwandamizi wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi Raymond Justine Ritte akiwa katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mbinga . Wa kwanza kulia ni Oswald Yohana Karadisi Afisa Mwandamizi Ujengaji uwezo na uendelezaji Biashara kwa wajasiliamali na aliye katikati ni Dada Sarah Lupembe

Afisa Mwandamizi wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi Raymond Justine  Ritte akiwa katika Ofisi ya Ushirika Wilaya ya Mbinga
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga akiwa na Afisa Ushirika Wilaya ya Mbinga akitambulisha ugeni kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi wakiwa katika Ofisi ya Mkurugenzi
 Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mh Kahindi akiwa na Afisa Mwandamizi wa ujengaji uwezona uendelezaji wa biashara kwa wajasilia mali Oswald Yohana Karadisi akisalimiana na mkuu wa wilaya ya Nyasa

Washiriki wa Semina ya Ujasiliamali wapatao 100 kutoka kijiji cha mapipili wakisikiliza Mada ya Jinsi ya kufanya Biashara na Kanuni zake

Washiriki wa Semina ya Ujasiliamali katika Ukumbi wa Mapipili kata ya Kitumbalomo wilayani mbinga wakisikiliza kwa Makini Mada ya Ujasiliamali

Washiriki wa Semina ya Ujasiliamali katika Kijiji cha Mapipili Kata ya Kitumbalomo Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma.

Washiriki wa Semina ya Ujasiliamali wapatao 100 wakisikiliza Mada ya Jinsi ya kufanya Biashara na Kanuni zake
Kijiji cha Mpipili Kata ya Kitumbalomo Wilaya ya Mbinga kilometa 25 kutoka Mbinga Mjini kinavyoonekana kikiwa kimezungukwa na Milima mikali

Kijiji cha Mpipili Kata ya Kitumbalomo Wilaya ya Mbinga kilometa 25 kutoka Mbinga Mjini kinavyoonekana kikiwa kimezungukwa na Milima mikali.

 Mwenyekiti wa Kijiji cha Mpipili Esau Esau akiwa nje ya Ukumbi wa Semina.

No comments:

Post a Comment