KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, February 22, 2013

KIGANJA CHA MKONO WA BINADAMU CHA KAMATWA LIZABONI SONGEA

KIGANJA CHA MKONO WA BINADAMU CHA KAMATWA LIZABONI

Katika Tanzania tuna kabiliwa na Vita vya aina mbalimbali kiuchumi, kiafya, pamoja na vita ya kulinda utulivu na amani tuliyo nayo.

Wapo wanao tegemea kufanikiwa katika biashara kwa kutumia viungo vya Watu wengine, kutaka viungo vya Albino na Kadhalika

Kwa mujibu wa Tarifa zilizo tolewa na RPC Mkoa wa Ruvuma  Desdedit Nsimike zina sema ,juu ya kukamatwa kijana Denes Fransis Kafinje  akiwa na kiganja cha Mkono wa Mtu nini maana ya Vitendo hivyo

Kwa hapa Ruvuma ni tofauti Kijana unayemwona hapo chini Denes  Francis Kafinje Mkazi wa Lizaboni anatuhumiwa kwa kupatikana na Kiganja cha Binadamu, akiwa ameweka ndani ya Box kwa umahiri mkubwa

Cha kujiuliza Kiganja hicho alimkata nani hakuna mtu aliyeripotiwa kukatwa Kiganja Mkoani hapa

Ndugu zangu mambo haya ni ya kutisha lakini tutafanikiwa ikiwa tutatoa taarifa kwa kuyaripoti matukio kama haya.
 Ona jinsi watu walivyo wakatili huo ni mkono wa Mtu ulio katwa angalia jinsi ulivyo katwa kwa makini tuta fikakweli
 Mtuhumiwa aliye kamatwa na kiganja  cha Binadamu Denes Fransis Kafinje akihojiwa na Jeshila Police Mkoani Ruvuma
Kiganja cha mkono  wa binadamu  hakijulikani nani alikatwa ni juu ya Watanzania kuwa fichua hawa wahalifu

No comments:

Post a Comment