KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, February 4, 2013

MWENYEKITI WA CCM WILAYA AFARIKI DUNIA SONGEA

 Waombolezaji wakielekea makaburini kumzika aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Songea Mohamed Dizumba Mazishi yamefanyika katika viwanja vya Luhira Songea.huku mvua kali ikinyesha
 Meya wa Manispaa ya Songea Charles Mhagama  baada ya kukesha usiku kucha katika kuandaa mazishiya aliye kuwa mwenyekiti wa CCM Ahamed Didhumba hapo uzalendo umemshinda ana chapa usingizi
 Mkuu wa Wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti akiwa katika eneo la Mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Songea
 Mamia ya waombolezaji wakiwa katika Mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Songea
 Waziri wa Mambo ya ndani Dr Emanuel JohnNchimbi akiwa eneo laLuhilamakaburinialiye simama naye ni Katibu wa Mbunge jimbo la Songea Andew Chatwanga
 Viongozi mbalimbali wa chama na serekari waliohudhuria mazishi ya Ahamed Dhizumbaaliye kuwa mwenyekiti mstahafu wa CCM Wilaya ya Songea
Mwili wa Marehemu Ahamedi Didhumba Ukiteremushwa kaburinimaeneoya luhila manspaa ya Songea

1 comment: