KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, February 6, 2013

MAFANIKIO YA IDARA YA UHAMIAJI MKOANIRUVUMA

Add caption

Afisa UhamiajiMkoa wa Ruvuma Koku Lwebandiza  akielezajinsi Idara ya Uhamiaji ilivyo fanikiwakatikanyanda mbalimbaliikiwemo mawasilianoya uhakika,Gari,Compyuta,Nyumba za wafanyakaziofisi za kisasa.ushirikianokati ya idara ya uhamiajina wananchi.
Add caption

Jengo la utawala laUhamiaji ambalo lime jengwa eneola Mahehenge manspaa ya Songea ilikiwa lina kadidiwa kugharimu zaidiya shilingimilioni700
Add caption

Ofisi ya uhamiajililioko mpakani mwa Msumbijina Tanzania eneola Mkenda tarafa ya Mhukuru wilaya ya Songea Vijijini.
Add caption
Jopo la Maafisa Uhamiaji wakiwa katika kikaocha kuboresha utendaji wa kazi mpani mwa Msumbiji na Tanzania
Jopo la Maafisa Uhamiaji wakiwa katika kikao cha kuboresha utendaji wa kazi mpanimwa Msumbiji na Tanzania

Nyumba za watumishiwa idara ya Uhamiaji zilizo jengwa mpani mwa Msumbijina Tanzania Eneola Mkenda.

Nyumba za watumishiwa idara ya Uhamiaji zilizo jengwa mpani mwa Msumbijina Tanzania Eneola Mkenda.

 Afisa uhamiaji Mkoa wa Ruvuma akiwa na Jopo la wafanyakazi  Wenzie wakitokea nchini Msumbiji katikauimarisha ujirani mwema kati ya Msumbijina Tanzania.
Add caption

 Afisa uhamiaji  Mkoa wa Ruvuma akiwa na Jopo la wafanyakazi wenzie wakitokea nchini Msumbiji katikauimarisha ujirani mwema kati ya msumbijina Tanzania.

Gari lililotelekezwa na wahamiajiharamu na kushikiliwa na uhamiajiMkoa wa Ruvuma.

Kudhibiti uhamiaji haramu kunatakiwa ushirikiano na wananchi hebu ona msitu huu ulivyo kuwa mkubwa ni rahisi wahamiajiharamu kuvuka kama hakuna ushirikiano.

No comments:

Post a Comment