KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, July 3, 2013

MJUMBE WA UTPC ATEMBELEA RUVUMA PRESS CLUB -SONGEA

 Katibu wa Ruvuma Press Club Andrew Chatwanga akiwa na Mgeni kutoka UTPC  Mzee George Mkude akiwa katika ofisi za Asasi zisizo kuwa za kiserekari Mkoa wa Ruvuma ,RUNECISO [Ruvuma Network of civil society organization ] na aliye mshika bega katibu msaidizi Mosses Konara ni Makamu Mwenyekiti wa RUNECISO Adamu Mzuza Nindi
 Mgeni kutoka UTPC Mzee George Mkude akiwa na jopo la Viongozi wa andamizi kutoka kulia Juma Nyumayo Mratibu wa RUNECISO, Anaye fuatia kutoka kulia ni Moses Konara katibu msaidizi wa Ruvuma Press Club na anaye onyesha kibao ni Mzee George Mkude ,aliye kushotokwa mzee mkude ni katibu wa Ruvuma Press Club Andrew Chatwanga.
Mzee George Mkude kutoka UTPC amewataka waandishi wa habari kuwa chachu ya kuleta maendeleo hasa kuangalia watu wanaoishi pembezoni mwa mikoa ili waweze kujiondoa katika umasikini.pia amewataka waandishi wa habari habari zao ziwe kama dira ya kuwaongoza viongozi kujua changamoto zinazo wakabili watu wanaom ishi pembezoni

No comments:

Post a Comment