KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, June 14, 2014

MWENYEKITI WA WAZAZZI TAIFA A WATUHUMIWA WAZAZI WA KIKE KUWAPOTOSHA MAADILI YA WATOTO WA KIKE


Mwenyekiti wa Wazazi Taifa Alhaji Abdallah Bulembo amesema kuharibika kwa Tabia za Watoto kwa Kiasi Kikubwa kunasababishwa na  Wazazi wa Kike, Mtoto anapokuwa anabadilika kitabia na kumiliki Vitu vya Anasa na vyenye thamani ya juu kuliko uwezo wa wazazi  ni juu yao kuhoji ili kujua Mtoto wao amevipata wapi.

Mwenyekiti wa Wazazi Taifa Alhaji Abdallah Majura Bulembo akiwa Mkoani Ruvuma amezitaka Halmashauri  za wilaya na manspaa ya mji kutoa Asilimia 10%  zilizotengwa na Serikali kwa ajili ya kuwasaidia Vijana na Wanawake  kuwainua kiuchumi.


Wazazi waliohudhuria katika Mkutano Kijijini Matetereka wametoa kero zinazowakabili ikiwemo, Watendaji wa Serikali kuwa Miungu watu, Walemavu kukosa Msaada kutoka kwa Viongozi wao, na kwa upande wa Wazazi wa Kike wakijitetetea  wamesema  Utandawazi ndiyo sababu kubwa inayowafanya watoto wao kuharibika.
Mheshimiwa Diwani Teofilo Mlelwa akimkaribisha mwenyekiti wa Taifa wawazazi Alhaji Abdallah Majura Bulembo katika kata ya Mkongotema
Wanafunzi wa Shule ya Wilima wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mwenyekiti wa Taifa  Alhaji Abdallah Majura Bulembo
Viongozi wa CCM Songea vijijini walio shiriki ziara ya Mwenyekiti wa Wazazi taifa Alhaji Abdallah Majura Bulembo
Wazee wakiwa katika mkutano wawazazi katika kijiji Mkongotema songea vijijini
Wazee wa Wilima wakisikiliza hotuba ya Alhaji Abdallah Majura Bulembo

Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi CCM Taifa Alhaji Abdallah Majura Bulembo amewaasa Wazazi kuacha Tabia ya kusababisha Watoto wa kike  kuharibika kitabia hatimaye kupata uja uzito  .
Mwenyekiti wa Jumuya ya Wazazi Taifa Alhaji Abdallah Majura Bulembo ameyasema hayo akiwa katika Kijiji cha Matetereka Kata ya Gumbiro Songea Vijijini Wakati wa Ziara yake Mkoani Ruvuma.
katibu wa CCM Mkoa wa Ruvuma akimpokea Mwenyekiti taifa Alhaji Abdallah Majura Bulembo
Diwani TT wapili akiwa na furaha baada ya kupokea maelekezo kutoka kwa Mwenyekiti wawazazi TaifaAlhaji Abdallah Majura Bulembo
Mlemavu wa viungo akiwa katika mkutano wa mwenyekiti wa wazazi Taifa Alhaji Abdallah Majura Bulemboakiomba msaada wa Baiskeli

No comments:

Post a Comment