KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, June 14, 2014

WAZEE WAOMBA KUPATA MBUNGE MWAKILISHI WA KUWAKILISHA WAZEE

Wazee zaidi ya 1500 wa mkoa wa Ruvuma  wakiongozwa na Mwenyekiti wa Baraza huru la wazee Abdala Mwamba wameshiriki  kutia saini zao kuiomba serikali ya Tanzania kumtuma mwakilishi kwenye mkutano wa Umoja wa mataifa  mwaka huu na kuridhia utungaji wa Sheria ya kimataifa ya” kulinda haki za wazee duniani”. Wazee hao waliendelea kusema wazee kama kundi maalum wanahitaji kuwa na sheria hiyo kama ilivyo kwa wanawake, watoto na watu wenye ulemavu.
Wazee wa Manspaa ya Songea wakiingia katika viwanja vya Ofisi ya Mtendaji Matogoro kuishindikiza Serekari ilki waweze kuwa na Mwakilishi katika Bunge la Tanzania
Mtendaji wa Kata ya Matogoro akitoa neno la utangulizi kuwa karibisha wazee katika ofisi yake Matogoro Manispaa ya Songea
Mkusanyiko wa wazee wapatao 500 waliokuja kuishindikiza Serekari kuwapa mwakilishi Bungeni
Wazee wa Mnspaa ya Songea Wapatao 500 wakiwa viwanja vya Matogoro wakitoa sababu za kutaka kuwa na mwakilishi Bungeni wamedai ni kutokana na kuto sikilizwa kero zao
Afisa Maendeleo Manspaa ya Songea Adam Ngelangela akijibu baadhi ya kero zilizo telewa na wazee na kusema ziko kero nyingi zilizo tatuliwa ikiwa na pomoja na wazee kutibiwa bure
Wazee wakitia sahihi karatasi linalo onyesha wao wanataka kuwa na mwakilishi Bungeni
Mwenyekiti wawazee Manspaa ya SongeaAhamad Mwamba  akiwahutubia wazee wenzake jinsi wanavyo kosa haki za msingi wanapo kosa kuwa na mwakilishi Bungeni ambaye atachaguliuwa kutokana na Wazee
Wazee wanawake wakiwa uwanja wa Matogoro walipo kusanyika kutaka kushindikiza Serekari kutoa na fasi kwa wazee kuingia bungeni ili kuwatetea haki za wazee ambazo zime kuwa nyimbo baadala ya kutekelezwa
Nembo la Shirika linalo shugulikia Wazee wa Mkoa wa Ruvuma na Tanzania kwa ujumula

No comments:

Post a Comment