KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, March 7, 2015

HIRIZI PEKEE YA KUDUMISHA AMANI NI KUWA JALI MAYATIMA,MASIKINI,MAFUKARA, NA KUTOA ELIMU KWA NYANDA ZOTE


Amani ina tokana na nini Amani inatokana na vitendo vya viongozi ,kujali Mayatima pale wanapo sherekea siku zao za kuzaliwa aqu sherehe za Crismasi ,Iddi Fitiri na sherehe zingine za kitaifa ni lazima uone jirani yako yuko masikini fukara au yatima kama anavyo onyesha Msitaiki Meya Chares Mhagama kwa kula chakula na Mayatima.

 Watot hawa wanasema wange omba sikukuu ya Mwaka mpya iwe kila siku ili wale wanye kama wanavyo onekana lakini kuwa fanya hivyo kuna tokana na wazazi kila mzazi akijua kuna yatima na kutenga bajeti yake ataweza kufanikiwa kwa kulisha mayatima na masikini
 Watoto wa Manspaa yaSongea wakisherekea sikuuu ya Mwaka Mpya kwa kula Chakula na Meya wa Manispa Chares Mhagama
 Chares Mhagama Meya wa Manspaa ya Songea amesema kila wakati katika kicha chake anawaza ingewezekana watoto wanao ishi katika mazingira magumu tunge weza kugawana watu wote ili kupunguza aza inayo wakabili watoto hao

Mababu zamani ili kuweka maadili mazuri kwa vijana wao walikuwa na kitu kinacho itwa jando, jando ni moja ya kumweka kijana maisha ya ndoa ili aingiapo katika ndoa ajue jinsi ya kutunza familia yake kilicho sisitizwa ni nyumba kuto kuwa na njaa, kuwaq shujaa wakati janga likitokea ,kuzima moto,kupambana na wanyama, pia kuwa mlinzi wa jamimi. Jambo hilo hivi sasa lina fanywa kwa kupeleka vijana kaiti kambi za JKT  kama wavyo onekana hapa yote ni kuwa fundisha kulinda inchi yao na kuleta amani


Viongozi wa kitaifa na wa mikoa mara zote wanatakiwa kuwa na ubunifu kutafuta njia za kuweza kuwafanya wananchi wawe na imani nao kwa kuweza kutafuta njia za kuwa toa katika umasikini, Viongozi wakiwa jirani na wananchi kama wanavyo onekana hapo ita saidia kujua matatizo ya wananchi hapo meya  Chares Mhagamaana mbungeDr Emanuel John Nchimbi wana badilishana mawazo kuhusu maendeleo ya jimbo la songea

 Nikawaida kwa Viongozi wenye Msimamamo kuongea na Waandishi wa Habari katika kujua Maendeleo yaliyo fanyika Hapo kiongozi Shupavu aqmbaye Mungu amempenda zaidi na kuweza kuchukuliwa na Mungu Cap John Komba akiongea na waandishi wa Habari kutoka kushoto Nathani Mtega na anaye fruata Juma Nyumayo wa Mwisho kulia ni Adamu Nindi, Jee Viongozi wote wana fanya hivyo,Viongozi igeni igeni mfano wake Cap John Komba ili kuendeleza amani
 Uhuru wawatoto ni kwenda kila wapendapo na kuhakikisha ulinzi wao upo na amani ina patikana kama unavyo ona katika picha hii
 Watoto hupenda sana michezo kama alivyo samaki anavyo penda maji ,wazazi waacheni watoto wenu kushiriki michezo mbalimbali.Lakini amani hii ina tokana na viongozi wazuri tuwe macho hapo Octoba Mwaka huu kuchagua viongozi Bora ili amani idumu

Tunapo sema Amani ni pamoja na kuona watoto wanawake wana kuwa na sehemu za kiupata burudani na kuweza kusitarehe na watoto wao ,Ndugu8 zangu kama unavyo ona watoto wakicheza kwa furaha hiyo ina tokana na serekari kujali zaidi kudumisha amani, sasa tuna enda kwenye uchaguzi tufanyeje ili amani hii iendelee ? jibu ni kuchagua viongozi bora na siyo bora viongozi.

 Angalia Furaha ya Watoto wanapo kuwa na Amani ndugu zangu Mke ukiwa naye huwezi kuona Uzuri wake ndivyo ilivyo amani ikitoka tuta juta na sisitiza tuchague viongozi wazuri
Mtoto kutembea bila hofu ni furaha kwa wazazi hebu ona kuku kila wakati haamini kama mtoto wake yuko salama kazi kubwa ni kuogopa Mwewe,Paka,Nyoka, Lakini watoto wa kitanzania wao wako huru,

No comments:

Post a Comment