KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, September 6, 2015

BAJAJI MKOANI RUVUMA YA SABABISHA KUCHELEWESHA KWA MAZISHI BAADA YA KULIGONGA GARI LILILO BEBA JENEZA KWA AJILI YA MSIBA

 Pikipiki aina ya Bajaji ikiwa imepinduka baada ya kugongana na gari lililo beba geneza la msiba maeneo ya Shule ya Tanga Manspaa ya Songea.Cha ajabu ni kuwa Dereva anaomba wamalizane ingekuwa kosa ni la Dereva wa Gari ,Gari hilo linge chomwa moto.
 Wasamalia wema wakisaidi kuokota vitu  vilivyo vilivyo kuwa kwenye Bajaji ikiwemo kochi
 Jeneneza lililo kwenye gari lilisababisha msiba uchelewe kuzikwa baada ya kukutana na adha ya kugongwa
Katika wiki ya usalama barabarani Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela aliwataka madereva kuwa makini lakini kwa madereva wa Pikipiki imekuwa kinyume ,Madereva wa Pikipiki wamekuwa chanzo cha Ajali Nyingi Nchini Tanzania

No comments:

Post a Comment