KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, September 6, 2015

UMATI WA WATU UWANJA WA MAJIMAJI SONGEA NA STAR TV LIVE

Umati wawatu ulio kusanyika mkoani Ruvuma kumsikiliza mgombea urais John Pombe Joseph  Magufuli
Moja ya faida wanayo ipata wanchi kufurahia vyombo vya habari ni kupata matangazo mbalimbali yanayo husu Maendeleo. Hapo mtambo wa Star Tv ukitoa live kampeni ya kugombea Urais kupitia CCM
                 Fundi Mitambo Goerge kutoka Star Tv akiendelea kurekebisha Mitambo
            Wananchi Mkoani Ruvuma wakingojea mgombea urais kupitia CCM
                                                                                     Ruvuma na CCM
Msimamizi wa matangazo ya Star Tv Victer Chacha  aliye vaa miwani akirekebisha Mtambo wa kurushia Matangazowa Star Tv kuhakisha Matangazo yana enda Vizuri
Mtalamu ambaye ni fundi mitambo Goerge akifanya juhudi kuhakisha nmitambo ya kurushia TV Ina wafikia watazamaji
Maendeleo ni moja ya vitu vinavyo tegemewa kuonwa na wanchi  Gari hilo unalo liona ni Gali la kisasa lina mitambo ya kuweza kuonyesha picha  za video .pia ni jukwaa la kisasa
                                                                  Gari hilo ni mafanikio ya
                                                                                Mitambo ya Star Tv

No comments:

Post a Comment