KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, September 6, 2015

WAZEE WANAWAKE WAOMBA MALIPO KWA AJILI YA UZAZI MKOANI RUVUMA

 Mwandishi wa Habari wa PST  Gidioni Mwakanosiya akiwakilisha katika kikao cha PAID
 Katibu wa Wawazee Joseph Mpangala akiwa katika kikao na Wandishi wa Habari kusisitiza pesheni kwa Wazee itolewe Haraka
 Mosses Konara akiwa katika kikao cha Wazee kinacho fadhiliwa na PAID Mkoani Ruvuma

Wanawake hao wazee wakiongea  katika Mkutano uliofanywa kati yao na waandishi wa Habari  na wazee wamesema, hakuna kazi kubwa hapa duniani kama kuzaa, kuzaa kunampa hali ya hatari Mwanamke  kupoteza Maisha. Asilimia 50% ya wanawake wanao poteza maisha hapa duniani  kutokana na uzazi.Aliye juu ni Mwenyekiti wa Mkutano huo Cresencia Kapinga

                                             Mwandishi wa Jogoo FM  Songea Adeni Mbele
                  Mwandishi wa TBC Raufu Mohamed akiwa PAID Unangwa Songea
                       Mzee ambaye anatetea haki za Wazee kuweza kupata Pesheni
 Mkiwa miliki wa Blog ya Songea Habari ,Ndigu Adamu Mzuza Nindi akiwa kwenye kikao cha wazee PAID  kusikiliza malalamiko ya wazee,
            Amoni Mtega wa Gazeti la Mtanzania akifikili jinsi ya kuwa saidia Wazee Mkoani Ruvuma

Wanawakew wazee wakiongea kwa uchungu wamesema vijana hivi sasa wanawaona wazee kama mzigo hawana njia nyingine ya kuwa toa duniani ni kuwasingizia kuwa ni Wachawi jambo liunalo pelekea waganga ambao wamesha waandaa kutoa dawa zinazo sadikiwa ni sumu  
Wanawake hao wazee wakiongea  katika Mkutano uliofanywa kati yao na waandishi wa Habari  na wazee wamesema, hakuna kazi kubwa hapa duniani kama kuzaa, kuzaa kunampa hali ya hatari Mwanamke  kupoteza Maisha. Asilimia 50% ya wanawake wanao poteza maisha hapa duniani  kutokana na uzazi.

Kuuwawa kwa wazee katika maeneo mbaimbali nchini  Tanzania kunatokana na vijana kuwa na hofu ya kutoweza kuwatunza  Wazee   na kusingizia kuwa ni Wachawi kwa kigezo cha kuwa na Macho mekundu.
Hayo yamebainika katika kikao kati ya wazee na wandishi wa habali wa Mkoa wa Ruvuma walipo kuwa wakijadili kuuwa kwa wazee kunako tokea katika kata Lilambo Mkoani Ruvuma  ambako wazee wamekuwa wakinyeshwa dawa inayo sadikiwa ina sumu na mara baada ya kunyweshwa hupoteza maisha.


Makamu Mwenyekiti wa Baraza Huru la Wazee manispaa ya Songea Sophia Hasara amesema Serikali baki ya kutoa Pensheni kwa Wazee wote, kwanza ingejumlisha kwa wanawake waliozaa kuwapa pensheni ya uzazi, pili kwa wazee wote wapate Pensheni.
    wanawake Wazee wa mkoa wa Ruvuma wamesema Serikali haitendi haki kwa kutolipa Pensheni kwa Wazee, wanawake ambao ndio nguvu kazi ya kuongeza watu katika Nchi.

No comments:

Post a Comment