KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, March 26, 2014

ANGALIA MIUNDO MBINU YA BARABARA ZA MKOA WA RUVUMA

 Gari la Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma likiwa lime kwama katika eneo la Litembo,Hivyo ndivyo ilivyo miundo mbinu ya barabara Maeneo ya vijijini
 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabiti Mwambugu akitembea kwa Mguu baada ya Gari lake kukwama na kubuni jinsi ya kulikwamua Gari Hilo
 Barabara Hii iko Chini ya Tan roads lakini wakati wa Masika huji funga na kusasa bisha akina mama wanao tegemea Hospitali ya Misheni Litembo kupoteza Maisha wakati waki safirishwa kwenda Hospitali
 Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Senyi Ngaga akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabit Mwambungu akijadiliana kuhusu kuboresha miundo mbinu ya Barabara za Vijijini
 Gari la POLICE Mbinga likiwa lime kwama maeneo ya Mlima Mbuji Litembo
 Ndugu msomaji wa Blog hii siyo kuwa Gari lililo kwama ni la Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma tu hata la Mkuu wa Wilaya nalo lilikwa hebu ona Timbili hizo Tan road wapo lakini hakuna kinacho eleweka
 Wandishi wa Habari wakiende kuchukua habari kuhusu mindo mbinu mibovu ya Barabara
 Meneja wa Tanroad Abrahamu Kishimbo akiishanga Barabara Baada ya Magari ya Mkuu wa Wilaya ya Mbinga na Mkuu wa Mko wa Ruvuma kukwama
 Usje ukafikiri tuna cheza Mchezo wa Kombolela la hiyo ni hali halisi ya Madaraja ya Mpakani Mwa Musumbiji na Tanzania jionee Mwenyewe Hapo kuna usalama kimindo mbinu,Zaidi ya Shilingi milioni 400.000.000 zimetumika kujenga Madaraja 8 lakini ya kiwa katika kiwango cha chini kwa mujibu wa Tarifa za Mkuu wa wilaya ya Nyasa Erenest Kahindi
 Daraja hili lipo kilometa moja kufika Msumbiji sasa limesombwa na Maji lime kata mawasiliano na Majirani wa Msumbiji hata Huduma za Afya zinazo tegemewa kupatikana zinazo wasaidia Majirani wetu zime katika. Siyo hilo tu Hata wanafunzi wa Shule za Sekondari na Shule ya Msingi maji ya kijaa wana shindwa kuvuka

No comments:

Post a Comment