KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, March 26, 2014

MBINGA NA NYASA IKO KATIKA HALI GANI KIMAENDELEO

 Unaposema Maendeleo ni pamoja na kujali nyumba za Watumishi hiyo unayo iona hapo mbele ni nyumba ya Mkuu wa Wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma
 Standa ya kisasa iliyo jengwa katika wilaya ya Mbinga ambayo imegharimu kiasi cha shilingi bilioni moja na milioni mia mbili B,1.2
 Mwonekano wa mabanda ya biashara kwa pembeni Stand Mpya Wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma
Mgeni akifika ina bidi mkirimu zawadi yoyote ile Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akipewa Box la Kahawa inayo Zalishwa Wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma anaye Mkadhi Box la Kahawa ni Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Senyi Ngaga

No comments:

Post a Comment