KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, October 13, 2014

WANAWAKE WA KIPARE WAFANYA SHEREHE YA MWAKA SONGEA [LUKONDO NYIKA VACHE ]

 Uongozi wa juu wa chama cha Lukondo Nyika Vache wakiwa ukumbi wa Songea Club kufurahia Mwaka Mpya kwa kula vya kula vya asili ya Kipare na Kichaga
 Mama Mgonja akiwa na Jagi wa Miss Bantu wakisherekea kwa pamoja
 Mama Mgonja akifurahia mwaka mpya anasema alicho jifunza ni kuwa na moyo wa upendo kwa wazima na wagonjwa chama chao mpaka sasa kimesha tumia kiasi cha shilingi milioni mbili kusaidia wagongwa na watoto wanao ishi maisha hatarishi
 Akina mama wakipare na kichaga wakiwa wameandaa vyakula vya asili tayari kwa kuwapa walaji
 Mama akieleza jinsi alivyo fanya na kuwa kusanya wa chaga na wapare ili kudumisha mila zao ikiwa na pamoja na kujali vyakula vya asili
 Zena Msangi akitoa maelezo jinsi anavyo tengeneza vya kula vya asili vilivyo mfanya awe na British fige
 Fatuma Swai akifurahi na Mmoja wawanake wakipare kama unavyo mwona katika picha
 Vyakula vya asili vilivyo tayarishwa asilimi 75% ya vyakula hivyo ni kinga ya magonjwa mbalimbali
 Nguo za Heshima ni moja ya dalili ya kudumisha heshima ya mwafirika hebu ona mavazi yao
 Mlezi wa kikundi cha Lukondo Nyika Vache mama Fatuma akieleza utamadifauni wa kipare na kichaga ulivyo na faida kwa Ta
 Siku ya sherehe husahau mambo yote ndivyo unavyo waona akina mama hawa
 Kupata Rafiki ni kitendawili mtu anapo pata zawadi na kujua Rafiki yake hupata ki wewe kama unavyo mwona mama huyo pichani
 Wapare na wachaga hawako nyuma katika ngoma za utamaduni hapo waki kumbuka kwao uchagani na upareni
                                           Marafiki wawili wakisherekea Mwaka Mpya
Hiyo ni furaha ya kupeanapo  Zawadi inapo fika kila mwaka
 Moja ya Mapendo wanayo onyesha ni kupeana Zawadi kila mwaka kila mmoja huchagua Rafiki yake na Kumpa zawadi
 Wakati wa ufunguzi wa Shampeni wanawake wa kipare wakiujidatika sherehe ya mwaka kwa wanawake wa kipare na kichaga wanao ishi mkoa wa Ruvuma
 Mkuu wa Wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti akifurahia vitu vya asili vya kichaga na kipare
 Mkuu wa Wilaya ya Songea akiwa ameshika Dumula kwa lugha ya Wangoni kufurahia Pombe ya kichaga iitwayo Mbege
 Mkuu wa Wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti akiwa asa wanawake wakipare kuisaidia serekari kurudisha maadili ya mwafirika ya kuwa na upendo ,haiba, na kujali usitarabu wa mwafirika. kuachana na vikundi vinavyo fundisha watoto wa kike na wakiume maadili mabaya
 Keki iliyo Tengenezwa Kiasili ikiashiri kukumbuka aliko toka mwafirika na Vyakula vyake hapo ikiwa tayari kuliwa
 Dalili ya Upendo ni Mkuu wa Wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti kumshikisha kiupendo kwa kulishwa keki na Mhimili wa Chama Mama Komba
Wanakikundi cha Lukondo Nyika Vache wakisherekea mwaka mpya kwa kufanya tendo la Shampeni
 Mshindi wa Miss Bantu akiwa amevalia Namba 3 wakati wa mavazi ya Asili onyesho ilililo fanyika Songea Club
 Moja ya Dalili za Upendo ni Kulisha keke kama anavyo fanya Mama Komba kumlisha Mwenyekiti Mama Mbaruku Keki
 Mwenyekiti wa Chama cha Lukondo Nyika Vache Mama Mbaruku akieleza msimamo wa chama chake kuwa lengo kubwa ni kuwa rudisha walio kinyume na jamii katika Malezi
Fafuma Swai mmoja wa kikundi cha Wa Mama wa Pare akitoa maelezo jinsi ya kutumia vyakula vya Asili vya Kipare na Kichaga

No comments:

Post a Comment