KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, May 28, 2016

WAZEE MKOANI RUVUMA WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA KISUKARI .KATIKA KUAZIMISHA SIKU YA KISUKARI DUNIANI

 Wazee wapatao 3000 wamejitokkipima kujua Afya yakeeza kwa wingi Mkoani Ruvuma kwa ajili ya kupima afya zao ikiwemo na ugonjwa wa kisukari mama kutoka peramiho akichekiwa na Wahudumu wa Zahanati ya St. Benedict Dr Hindu Mzambili na Bi Janet Mapunda
 Wazeeb wakiwa wame kaa kwenye fomu kungo zamu ya kumwona Dakitari kupima kisukari
 Hili ni bango la wafadhili walio fadhili upimwaji wa wazee kamaDA Kutoka kenye na Shirika la PADI Linalo shugulikia Wazee Nchini Tanzaniama linavyo someka ni Age Demands Action is a Help Age Global Network Campaign.
 Mkurugenzi wa PADI Issaca Msigwa akiongea na waandishi wa Habari kuhusu swala zima la siku ya kisukari duniani amesema magonjwa nyemelezi yanayo waathiri wazee ni pamoja na kisukari

 Wazee wanaotakiwa ni wengi cha muhimu ni kupitisha elimu kwa wadau mbalimbali ili mzee ajue faida ya kupima Afya yake ingawa muda wa kufanya hivyo ni mdogo kutokana na mzigo anaotwishwa wa kulea wajukuu
 Hapo akina mama wakiwa wamejipanga foleni toka asubuhi na kusema hawaondoki mpaka wajue Afya zao
Unaweza kuona foleni ilivyokuwa kubwa huo ni mwitikio mzuri kwa wazee kujitokeza kujua Afya zao
Wahudumu wa Afya ya Msingi wakiwa katika juhudi za kuwa pima wazee pamoja na changamoto kubwa zinazo wakabili zakuelimisha wazee kuhusu lishe
Mama hapo baada ya kupima kisukari sasa ana pima BP Ili kujua map[igo ya Moyo
Mganga Mfawidhi Dr Exsavery Malekela wa Zahanati ya Misheni inayo milikiwa na Masisita wa ST Benedict iliyoko Matogoro Manispaa ya Songea akiendelea kupima wazee .
Kabla ya kuwa pima wagonjwa Mganga Mfawidhi Dr. Xsavery Malekela hutoa Nasaha ili kuwa weka sawa wagonjwa
Wahudumu wa Afya ya Msingi wamekuwa watu ambao wako mstari wa Mbele kuwahudumia Wagonjwa kama unavyo waona hapo
Moja ya Harakati ya Kumpima kila Mgonjwa aliye kuja kupima bila kubagua kutokana na hali zao
Mganga Mfawidhi Xsavery Malekela  wa Zahanati ya St Benedict ni kawaida yake kwanza kabla hajaingia kutoa Nasaha za kuwaweka sawa mgonjwa
Mhudumu wa Afya ya Msingi kwanza kabisa kabla ya kutoa huduma huchukua historia ya Maisha yake ili kujua ni kwa nini BP imepanda

Mzee kutoka Matogoro ambaye amekuwa na kawaida ya kujua Afya yake amesema kila baada ya Miezi mitatu huja kutaka kujua Afya yake



                                                            UPIMAJI WA KISUKARI
                  Bango linalo onyesha Zahanati ya St Benedict ilipo ili wagonjwa wasipotee

Waganga walichukua siku mzima kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa kumi na mbili na nusu walipo maliza zoezi la upimaji wa kisukari ati ya wazee walio pimwa asilimia 20% walipatikana na kisukari
Ukiwa mwoga huwezi kupima kasinda kado lazima kakutoboe lakini hilo halikuwa kikwazo wengi waliendelea kupima
Mara baada ya kupimwa hutolewa darasa la kuwa fanya wale walio onekana hawana kisukali wafanyeje na walio patikana na kisukari nao wajilinde vipi
                            Wasee wakibadilishana mawazo baada ya kupimwa kisukari

                    Mwalimu kutoka Chuo cha walimu Matogoro akijisogeza kutaka kujua hali yake
Mhudumu wa Afya ya Msingi akimupima Mzee kisukari amesema Changamoto anazo kutana nazo anapo kwenda majumbani kutoa huduma hiyo ni kudhani wana beba chakula kwa ajili ya wazee, hiyo ni changamito kubwa unayo tokea mara kwa mara
Msimamizi mkuu wa Zahanati ya ST Benedict ,Zahanati hii ina vifaa mbambali vya mazoezi kwa wale wenye matatoizo ya Mgongo ,Kiuno kuuma,au Shingo una fanya mazoezi tu na ugonjwa una toka muda huo huo jaribu kutembelea Zahanati ya ST Benedict iliyo Matogoro Manspaa ya Songea

No comments:

Post a Comment