KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, May 27, 2014

MAMA WA ZITO KABWE MAHUTUTI

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mama Mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya CHADEMA Zitto Zuberi Kabwe aliyelazwa katika wodi ya wagonjwa wenye kuhitaji uangilizi maalumu(ICU) hospitali ya  jijini Dar es Salaam leo.

Pamoja na Hali mbaya ya mama wa Zito kabwe kanuni na desturi za Waafrica ni kuhamisha mioyo yao na kwenda kwenye Hospitali. Siyo kwenda Hospitali bali ni kuingia katika Maombi kumtalkia kila la Heri Mama Zito Kabwe aweze kupata Nafuu.Jambo la I tikadi ya Dini,Chama ,Kabila Kwa wakati huu tuweke Pembeni Tuige Mfano wa Rais Wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Mh.Jakaya Mrisho Kikwetea bali 

No comments:

Post a Comment