KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, May 14, 2014

WADAU WA POLICE WANAWAKE WAJA JUU,KWA AJILI YA KUIMARISHA POLICE WANAWAKE

 Wadau wa Police Wanawake Mkoa waruvuma wakijadili jinsi jengo hilo linavyo shindwa kutumika kutokana na kukosa fenicha za ndani kuto timia, wajumbe kwa pamoja wameazimia kuchanga kiasi cha shilingi milioni 11 kwa ajili ya kumaliza kazi hiyo
 Wadau wa police Wanawake wakipata vivyaji huku wakiendelea kutoa mawazo jinsi ya kutokomeza ukandamizaji dhidi ya wanawake na watoto
 Jengo la Police wanawake Mkoa wa Ruvuma ambalo mpaka sasa limeweza kug'arimu kiasi cha shilingi milioni 32
 Wadau wa Police Wanawake wakiwa nje ya jengo la police wanawake kuhakikisha jengo hilo lina tumika kabla ya Mwezi wa saba Mwaka 2014
 Sta f one wa Jeshi la Police akitoa Maelekezo kuhusu jinsi jeshi la Police lilivyo unga mkono katika jengo hilo
 Mwenyekiti wa Uhamasishaji wa Jengo la Police Wanawake Adam Mzuza Nindi aliye vaa suti na kashika Notbook Mkononi akielezea michango iliyo tolewa ilivyo fanya kazi hadi kufikia hapo

Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Police Wanawake Fadhila Chacha aliye vaa sare za Jeshi la Police akieleza jinsi anavyo pambana na vitendo viovu dhidi ya Mama na Mtoto Mkoani Ruvuma

No comments:

Post a Comment