KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, April 22, 2016

AMWOMBA RAIS WA JAMUHURI YA MUNGANO WA TANZANIA DR JOHN POMBE MAGUFULI AMUSAIDIE KUPATA MIRATHI YA MUMEWE KATIKAQ MKOA WA RUVUMA


Mama Mjane aliyeachwa na mmewe miaka 10 iliyopita, sasa amuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr john Pombe Magufuli amsaidie kupata Mirathi ya Mumewe ili aweze kusomesha Watoto wake.

Mama Engetrauda  Alex Millinga mumewe alikuwa mfanya kazi katika hospitali ya mkoa Ruvuma kitengo cha meno na aliondoka kwa kibali cha Serikali lakini Serikali ya Mkoa wa Ruvuma imeshindwa kumsaidia hebu tumsikilize anasemaje kwenye Video hii,


No comments:

Post a Comment