KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, April 28, 2016

MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA SONGEA WATOA VITANDA 20 NA MAGODORO 20 KWENYE ZAHANATI YA MJIMWEMA SONGEA



Mpangala ameyasema hayo wakati akikabidhi Magodoro 20 na vitanda 20 vikiwa na thamani ya Shilingi Milioni 11,760,000 kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Said Thabit Mwambungu.


 Regina Hyera na Mkuu wa Mkoa akipokea Msaada wa Magodoro na Vitanda kutoka Mfuko wa Taifa wa Taifa wa Bima ya Afya Songea

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Saidi Thabit Mwambungu akipokea vitanda hivyo kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya amesema kutokana na upungufu wa Magodoro 66 na Vitanda 77 sasa kutakuwa na upungufu wa Magodoro 46 na vitanda 57



Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu ameomba Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya kuangalia uwezekano wa kuweza kukamilisha Magodoro na Vifaa vilivyobaki.

 Meya wa Manipa ya Songea  Shaweji Mohamed akiwaomba wafanyakazi wa Mjimwema kudumisha usafi kwa kusema mapato yanaongezeka ina m,aana magonjwa yame kuwa mengi

Mfuko wa Bima ya Afya Mkoani Ruvuma umetumia zaidi ya shilingi 239,373,881 kwa ajili ya kulipia wateja waliojiunga na Mfuko wa Bima ya Afya.
Kaimu meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya Karistus Mpangala amesema wilaya ya inayoongoza kwa utoaji wa michango ya Mfuko wa Taifa wa bima ya afya ni Tunduru ambayo imeweza kupata shilingi 86,619,467.00


Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Jenifa amesema Manispaa ya Songea imepata Shilingi Milioni 100 kwa ajili ya kununulia Vifaa vya upasuaji katika Kituo cha Afya cha Mjimwema na wanatarajia kukopa Milioni 100 tena ili kumalizia chumba cha upasuaji cha mjimwema kianze kufanya kazi.

 Kushoto Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma katikati Mganga wa Zahanati ya Mjimwema Regina Hyera na kulia ni Carituus Mpangala


 Mkuu wa Mkoa akipokelewa na Mganga wa Manspaa ya Songea Chacha huku akiwa Mkuu wa Wilaya ya Songea Beson Mpesya
 Jopo la uongozi wa Zahanati ya Mjimwema wakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma baada ya kukabidhiwa Magodoro na Vitanda
 Meya wa Manspaa ya Songea akijadiliana na Mkurugenzi wa manspaa jinsi ya kuweza kuhudumia wananchi wa Manspaa
 Mganga wa Zahana ya Mji mwema Regina Hyera akipokea Magodoro na Vitanda kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma baada ya kupokea magodoro hayo kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Songea
 wauguzi wa manspaa ya Songea wame aswa kutumia vizuri vifaa vinavyo tolewa katika Zahanati zao pili wawe mbali na tamaa ya kudokoa vitu hivyo kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Saidi Thabiti Mwambungu
 Afisa Usitawi wa Jamii wa kwanza aliye vaa Tisheti ya Blue akisikiliza kwa makini Hotuba ya Mkuu wa Mkoa kuhusu wezi katika Hospitali
 Mkuu wa Wilaya ya Songea Besoni Mpesya  Akiomba Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kutoa viwango ambavyo Mwananchi ana viweza hata kwa kutoa katika Mihula Mitatu

No comments:

Post a Comment