KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, April 11, 2016

UTENDAJI WA KIKOSI CHA KUZUIA RUSHWA MKOANI RUVUMA KWA KIPINDI CHA MIEZI MITATU

Kamanda wa kikosi cha kuzuia Rushwa mkoa wa Ruvuma Yunisitina Chagala amesema jumula ya tarifa 82 zimewakilishwa katika ofisi yake zikiwa na malalamiko mbalimbali yakiwemo migogoro ya Aridhi, Afya,miradi ya miundo mbinu .Amesema kise moja iliyo kuwa ikihusu baraza la kata Namtumbo mwenyekiti na katibu wake wa baraza la kata Namtumbo ametiwa hatiani
 kamanda wa TAKUKURU amesema changamoto zinazo patikana kushindwa kutekeleza majukumu ni kutokana na wananchi kuto toa ushirikiano pale panapo hitajika ushahidi ameomba waandishi wa habari kusaidia kutoa tarifa zinazo husiana na Rushwa
 Waandishi wahabari wameambiwa waache kupaka matope wafanyakazi wa TAKUKURU kuhusika na Rushwa bila kuwa na uthibitisho wa swala hilo endapo kuna Mwandishi anajua kuna Rushwa ina tendeka basi atoe tarifa mara moja kwa wahusika
 waandishi waqliuliza kuhusu kesi zinaqzo husu vigogo kwanini hazi fikii mwisho na baadala yake kufanyiwa upeleleze zaidi ya miaka 7 .Mkuu wa TAKUKURU amesema kuna kesi ambazo zina takiwa maamuzi ya kutoka juu ndiyo jambo linalo leta usumbufu
 Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma akijibu swali la mwandishi kutoka mbinga nini hatima ya gari la taka lililo nunuliwa na Halimashauri ya Mbinga amesema uchunguzi una fanywa ili kujua tenda ya manunuzi ili fanyika kwa kufuata sheria majibu sahihi yata tolewa baada ya kumalizika kwa uchunguzi
 Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa ruvuma amesema wilaya inayo ongoza katika maswala ya rushwa ni wilaya ya mbinga ambayo yana husu zaidi swala la Manunuzi
 Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yusitina Chagaka amesema kwa muda wa miezi mitatu sasa ofisi yake imesha toa elimu kwa wananchi wapatao 4300
 waandishi waq habari mkoa wa Ruvuma wameiomba tasisi ya kuzuia Rushwa kupitia habari zinazo tolewa na waandishi wa habari ili ziwe chazo cha kubaini kufuka kwa rushwa
 Katika kikao hicho waandishi wa habari wameomba kufanyike semina ya kuzuia Rushwa kwa Mikoa ya Nyanda za juu kusimi ikiwepo mikoa ya Mbeya,Njombe,Iringa,na Ruvuma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma amesema Rushwa ni swala gumu kulibaini Mwananchi wa kawaida endapo ata toa ushirikiano basi Rushwa ita weza kufikia kikomo. Ameomba wananchi pamoja na waandishi wa Habari kuwa kitu kimoja ili kuweza kuisaidia TAKUKURU kukamata wale wote wanao husika na Rushwa na kuwapeleka Mahakamani

No comments:

Post a Comment