KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, September 11, 2012

CHUMVI NI MMOJA YA KUONGEZA MAGONJWA YA SHINDIKIZO LA MOYO (BP)

Dakitari Ansigall Stuffe OSB akiwa katika sherehe ya Jubeli ya miaka 25 toka huduma za Afya ya Msingi ilpo anza Katika Tarafa ya Ruvuma, Dr Ansigal Stuffe OSB amesema magonjwa yaliyo memengi kama Shindikizo la Moyo lina tokana na kutumia Chumvi kupita kiasi.

Mratibu wa Afya Tarafa ya Ruvuma akiwa na Dr, Ansigal Stuffe akimweleza mwendelezo wa miradi ya HAMU ambao una husu utokomezaji wa magonjwa mbalimbali katika Tarafa ya Ruvuma

Ukarimu wa Mngoni pale anapo pata kitu ambacho kina okoa maisha yake au kuleta kumbukumbu fulani kwa jamii basi jamii ya Wangoni hutoa Zawadi ya kinjenje kama anavyo pewa Dr Ansigal Stuffe kwa kazi kubwa aliyo ifanya ya kuokoa maisha ya watu katika Tarafa ya Ruvuma

Mratibu wa Afya katika Tarafa ya Ruvuma Abeli Mapunda akitoa tarifa ya maendeleo ya Afya kwa kipindi cha miaka 25 ya Jubelei ya DrAnsigal Stuffe amesema katika miaka 25 ya nyuma tarafa Ruvuma ilikuwa na changamoto ya magonjwa sugu kama Usubi, upere,kuhara,mafunza kwa watoto wa shule za msingi,ugonjwa wa maralia kwa asilimia kubwa magonjwa hayo yame tokomezwa kwa asilimia 75% na kugharimu kiasi cha shilingi bilioni 1.5 kwa fedha za kitanzania

Wanafunzi wa shule ya msingi likuyu fusi waki toa pongezi kwa Dr Ansigal Stuffe OSB kwa kazi kubwa aliyo ifanya kuwakomboa kiafya tarafa ya Ruvuma

Moja ya mambo ambayo yata kumbukwa kwa Dr Ansigal Stuffe ni kuwa wezesha wanawake kiuchumi kwa kuwapa miradi mbambalimbali hapo una ambiwa hiyo ni bras band inayo ongozwa na wanawake wenyewe

Unaweza kuona kupuliza Tarumbeta kama hili nikazi lakini mama huyo kwake ni sawa na mchezo wawatoto

No comments:

Post a Comment