KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, September 11, 2012

KATIBA NI KIINI CHA MAFANIKIO -JAJI JESEPH WARIOBA

Mh. Jaji Joseph Warioba akingia katika ukumbi wa Side Villa akiwa na Mwenyeji wake Mkuu wa Wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti

Mh.Jaji Joseph Warioba akiwa amepiga picha ya pamoja na waandishi wahabari Mkoa wa Ruvuma

Mh.Jaji Joseph Warioba akifafanua kuhusu utoaji wa Maoni kuhusu katiba,Pia alionya watu waache kupandikiza maneno ya kusema kuhusu katiba kwani katiba hiyo ni ya watanzania

Waandishi wa habari wakiwa na jopo la tume yamabadiliko ya katiba katika kupata habari za kina kuhusu utoaji wa maoni ya katiba ikiongozwa na Jaji Joseph Warioba

No comments:

Post a Comment