KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, September 14, 2012

MKOA WA RUVUMA WENYE WATU 1,412.084 UNA MAAMBUKIZI YA UKIMWI ASILIMIA 5.8

Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma amewataka Viongozi wa hospitali kuweka kumbukumbu kwa mambo mema ikiwa na pamoja kupokezana semina ,swala la mtu mmoja kwenda semina mbalimbali kuna punguza ari kwa watumishi wengine,pia hata tarifa za mambo yanayo azimiwa mtu mmoja hawezi kuanisha yote mengine ata sahau

Dr Wiliamu Mtumbika amesema maambukizo ya kifua kikuu katika mkoa wa Ruvuma ni asilimia 29 ,kila mtu mmoja anaweza kuambukiza watu 15 - 20 kwa mwaka

Mwenyekiti wasemina ya Tathmini ya kuangalia huduma zinazo tolewa Mkoani Ruvuma zimefanikiwa kiasi gani na changamoto gani zina ukabili mkoa wa Ruvuma

Mjumbe wa Sekeretarieti ya mkoa wa Ruvuma Mama Nguruse akitafakari jinsi ya kuteremusha maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ambapo ime bainika wilaya ya mbinga maambukizi ni 8.5 na wilaya ya songea nayo maambukizi ni 6.4 wakiti wilaya ya Tunduru maambukizi ni 2.0 sawa na Namtumbo kimkoa ni 5.6

Dr,Wilamu Mtumbuka amesema kila watu 100,000 kwa mwaka 2010 watu 145 walipatikana na TB kitaifa 2011 watu 61,648 walibainika na TB {Kifua kikuu} na Mwaka 2011 watu 140 walipatika na TB Kitaifa mwaka 2011 watu 63,453 walipatikana na TB {Kifua kikuu}

Dr Magaderena Zenda Mratibu wa UKIMWI Hospitari ya Mkoa wa Ruvuma akitafuta Takwimu sahihi za Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI Katika kitendea kazi chake


Inasikitisha kuona Maambukizi ya Kifua kikuu TB na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI Vikimshambulia mtu mmoja hapo waganga wana tafakari Tufanye nini ?

Mjumbe kutoka Mbinga upande wa Afya Mariamu Mkumba akisikitika baada ya kusikia maambukizi wilaya ya mbinga ni asilimia 8.6 alipo ulizwa na blog ya songea habari amesema juhudi zitafanywa ili maambukizi ya pungue kama Wilaya ya Namtumbo kuwa asilimia 2 tu.

wajumbe kutoka Tunduru wakisikiliza kwa makini juu ya ongezeko la watoto yatima mkoani Ruvuma

No comments:

Post a Comment