KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, September 11, 2012

WANDISHI WA HABARI WAMWOMBEA DAUDI MWANGOSI WAKIWA PERAMIHO MISHENI

Katika kumkumbuka Mwandishi wa Habari wa Chanel 10 Daudi Mwangosi wandishi mkoani Ruvuma walienda Peramiho Misheni kuomba mwenyezi Mungu amweke Mahali pema Marehemu Mwangosi

Kutoka kushoto ni Mwandishi wa Radio Jogoo anaye fuatia Mosses Konara wa Radio Maria na aliye fuatia ni Adamu Nindi wa RFA wa Mwisho ni Catherin Nyoni wa TBC 2,

Hapo kwa pamoja wote wakiendelea kuomba kwa bidii ili shari iliyo mkuta Mwandishi mwenzao Daudi Mwangosi iwe mwanzo na mwisho kwa kuweka pengo la kuhabarisha wananchi

No comments:

Post a Comment