KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, September 11, 2012

VETA NI MKOMBOZI WAWA NYONGE KWA KUONDOKANA NA UMASIKINI

Mkurugenzi wa VETA Nyanda za juu kusini Monica Mbele akiwa katika semina ya wakuu wa vyuo vya ufundi iliyo fanyika mkoani ruvuma na kuwakilishwa na wakuu 103

Joseph Joseph Mkirikiti Mkuu wa wilaya ya Songea akitoa msisitizo kuhusu viongozi wa vyuo vya ufundi sitadi kuwa na mazoea ya kuonana na uongozi wa wanafunzi ili kupunguza changamoto zinazo weza kutatuliwa baina ya uongozi na uongozi wawanafunzi

Wakuu wa vyuo mbalimbali vya nyanda za juu kusini wakiwa katika semina ya kuwajengea uwezo iliyo fadhiliwa na VETA Nyanda za juu kusini

Washiriki kutoka vyuo mbalimbali vya nyanda za juu kusini wakiwa wamepiga picha ya pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Songea Mh.Joseph Joseph Mkirikiti aliye mwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabiti Mwambungu

Mwandishi mwandamizi wa TBC 1 Cathelini Nyoni akichukua changamoto zinazo wakabili wakuu wa vyuo vya ufundi Stadi vya nyanda za juu kusini

Wakuu wa Nyanda za Juu kusini wakiwa katika semina ya siku 3 mkoani Ruvuma kuchambua changamoto pamoja na kutafuta jinsi ya kuongeza ufanisi kwa vyuo vya ufundi Stadinyanda za juu kusini

Washiriki walio hudhuria katika semina ya Wakuu wa Nyanda za Juu kusini wakiwa makini kuratibu mambo mbalimbali

Mzee Rutta Mwalishi na Mkongwe wa VETA akiwa mmoja wawashiriki kati ya wakuu 103 walio hudhulia semina hiyo

Masister kutoka Chipole wakiwa katika semina ya wakuu wa vyuo vya ufundi Stadi nyanda za juu kusini semina iliyo fanyika Mkoani Ruvuma

Jambo pekee lililo changamsha ukumbi ni vile vigezo vinavyo wekwa na VETA kuwa washiriki wanao takiwa kujiunga na VETA niwale walio hitimu kidato cha nne huku watu wengine ambao hawaja soma hata darasa moja wakiweza kutengeneza Gari na wengine kuweza kutengeza mashine za kufua umeme, ufundi Stadi una takiwa kuwaenzi hao wote ili kuenzi ubunifu wao hayo yalisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Songea Mh. Joseph Joseph Mkirikiti

No comments:

Post a Comment