KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, September 14, 2012

KATIBU TAWALA MKOA WA RUVUMA AMTAKA KILA MMOJA KUWA MWALIMU KUHAKISHA MAAMBUKIZI YANA PUNGUA

Hivi ni kwanini kila Semina aende mtu mmoja hivi hakuna wengine wa kuwakilisha alihoji katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma .wewe ukiwa kiongozi uta kumbukwa kwa lipi Tuache kujilimbikizia safari

Magonjwa aliyo sahaulika hivi sasa magonjwa hayo yame chukua nafasi ya kujulikana Dr Idda Ngoi akiyataja Magonjwa hayo amesema ni Usubi,Ukurutu,Mabusha, sasa yana tibika.

Afisa Uchumi Jacline Tarimo kutoka kutoka sekeretarieti ya mkoa wa Ruvuma alihoji kuhusu wagonjwa wa Ukoma waliko Peramiho nini Msaada wao baada ya kubaini changamoto zinazo wakabili kwani hata Viato Hivi sasa Hawana


Mwanasheria kutoka Mkoani Ruvuma akiangalia jinsi ya kuweza kutatua Matatizo yanayowakabili sekita ya Afya kishelia

Mungu wangu Juhudi zina hitajika kunusuru maisha ya watu kutokana na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na Kifua Kikuu

Ee kumbe kazi kubwa bado ipo ya kupambana na Maambukizi katika wilaya yetu ya Mbinga ni vizuri Vyombo vya Habari Visaidie kuhasisha watu ili Maambukizi ya Pungue, Afisa Afya Marimu Mkumba kutoka mbinga ambaye ameshiriki katika Tathmini kila wakati ana sikiliza kwa makini


Afisa wa TACAIDS Mkoa wa Ruvuma ameanisha ongezeko la watoto wanao ishi katika Mangira Hatarishi na kuomba wadau kushirikiana na serekari kuikabili hali shiyo

TB au Kifua kikuu ni Homa inayo Tibika jambo mhimu ni kila mwananchi kujua hali yake kiafya alishauri Dr Wilamu Mtumbuka

Tunapo ona hali ina kuwa mbaya kiafya ni juu yetu kutafakali jinsi ya kuepukana na Magonjwa ya kua,mbukizwa ,Tumeingia mkenge na Babu loliondo akiadai ana tibu Maambukizi ya UKIMWI lakini jawabu lake tume poteza watu wengi ambao walidai wamepona na kuacha kutumia dawa

Washiri wa semina ya Tasimini wakijadili kwa kina jinsi ya kunusuru roho za wana Ruvuma kiwango hata kama walio athirika ni kidogo nilazima tufute kabisa maambukizi,Hasa yanayo toka kwa mama kwenda kwa Mtoto

No comments:

Post a Comment