KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, September 5, 2012

HIVI MWANDISHI ANA THAMANI MBELE YA WANA SIASA AU NI KAMA SAWA NA MSHUMAA ULIVYO ?

Hayati Daudi Mwangosi alikuwa mwandishi hodari katika kuelimisha jamii mambo ya kisaikolojia na hata filosofi zaaina zote , katika ofisi yake kulikuwa na Vitabu mbalimba vya watu mashuhuri vilivyo onyesha namuna ya kutafuta haki, jee baada ya kifo chake watu wanalitambua hilo ?

Pamoja na Mapenzi mema ya Wanahabari kwenda kumuzika mwenzao lakini upepo wamajonzi ya Daudi Mwangosi uliwakumba wandishi na kutaka kupata Ajali


Mwandishi Fransi Godwini kulia akiwa amebeba jeneza la Daudi Mwangosi wakati wanaenda kuzika kushoto kwakwe Rais wa UPTC Cenes Simbaya


Picha hiyo hapo juu ina wachanganya Waandishi wa Habari na Jamii kuhusu kifo cha Daudi Mwangosi ,Jee wewe Raia baada ya kuona picha hii una wazo gani huoni wandishi ni sawa na mshumaa ,Tume kuwa tukipiga kelele kuhusu haki za wenzetu jee Raia mna tusaidia vipi Waandishi, Haya tujipe pole wote

No comments:

Post a Comment