KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, July 9, 2013

USHIRIKINA UNAWEZA KUWA ADHABU KWA MABINTI PALE WANAPO TAKA KUPATA WATOTO

Mabinti hao wawili wakiwa kwa mganga wa jadi  Bint Ndembo wa Namtumbo Ruvuma kuomba wafunguliwe baada ya kumtuhumu bibi yao kuwa wame fungwa kizazi, Bibi yao alikiri kuwa kweli yeye ndiye aliye wafunga kibuyu alicho kamata binti wa kwanza kulia ndicho kilicho tumika kuwa funga hawo ma binti, Msomaji una maoni gani kuhusu hilo

No comments:

Post a Comment