KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, July 28, 2013

WAZIRI MKUU AWATAKA WAZAZI KUWA PELEKA WATOTO WAO VETA


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Kayanza Pinda amesema Serikali kwa sasa imejitahidi kupunguza ongezeko la Ajira kwa Vijana kutoka asilimia 16% hadi kufikia asilimia 11.5%.

Mheshimiwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameyasema hayo alipotembelea Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA Songea na kuweza kuweka la Msingi Ujenzi ambao mpaka sasa umegharimu kiasi cha fedha ya Tanzania  1,568,019,848.[Bilioni moja milioni mitano sitini na nane na kuminatisa elfu mianane arobaini na nane
 Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda akikagua Mashine zinazo tumika kuwa fundishia wanafunzi wanao chukua Mafunzo ufundi stadi
 Waziri Mkuu Mizengo Kanza Pinda akionyeshwa gari lililo tengenezwa na Chuo cha VETA Songea
 Moja ya Mazao ya Chakula yanayo Patikana Mkoani  Ruvuma [Mihogo]
 Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda alielewzwa faida ya Mihogo kuwa pia una weza kutengeza Biscuti,Keki ,pamoja na kutengeneza vitafuno mbalimbali
 Chuo cha VETA Pia kina jihusisha na ufundi wa Kushona kama vinavyo onekana vitambaa mbalimbali
 Katika ufundi Veta  ina weza hata kuandaa nguo za Maarusi kama wanavyo onekana kwenye picha
 Waziri Mkuu akionyeshwa Jiko la Kisasa ambalohutumia kuni lenye thamani ya shilingi laki sita [600,000/=]
Waziri Mkuu akikabidhiwa jiko la Kuni kama zawadi kutoka chuo cha VETA  Lilwe kielelezo cha kutunza Mazingira miba kutumia Miti mingi

No comments:

Post a Comment