KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, July 28, 2013

WAZIRI MKUU AZUNGUMUZA NA WAANDISHI WA HABARI RUVUMA




Waandishi wahabari wakiwa ikulu ndogo Songea wakisikiliza Rasilimali tulizo nazo Nchini Tanzania ikiwemo Pamoja na Madini,Nafaka malimbali jambo lililo pelekea mkoa wa Ruvuma kuwa ya moja ya Mag’hala ya mahindi kitaifa

 Mwandishi wa Habari Mkongwe wa Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda akisikiliza kwa makini maelezo ya maendeleo ya Mkoa wa Ruvuma
 Mwandishi wa Habari Mkoa wa Ruvuma Crencesia Kapinga wa Gazeti la Majira akimwomba Waziri Mkuu kuwa shirikisha wandoshi wa Mikoani ili waweze kujifunza anapo kwenda safari za Nje ya Nchi
 Katibu Msaidizi wa Ruvuma Press Club akimsikiliza kwa makini Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda alipo kuwa akielezea Michango inayo Tolewa na Wandishi wa Habari katika Kuleta Maendeleo
 Viongozi wa Mkoa wa Ruvuma kutoka Wilaya zote wakiwa Katika Majumuisho ya Ziara ya Waziri Mkuu katika Mkoa wa Ruvuma


Waziri mkuu wa  Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mizengo Kayanza Pinda akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu kukua kwa uchumi wa Mkoa wa Ruvuma n KUWA WA Nne kitaifa.

Wakuu wa wilaya za Tunduru,Nyasa,Mbinga,Namtumbo wakiwa kattika Majumuisho ya Ziara ya Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda katika ikiulu ndugo Songea

No comments:

Post a Comment