KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, July 28, 2013

WAZIRI MKUU MIZENGO KAYANZA PINDA AWATAKA MAFISA UHAMIAJI KUWA MACHO NA WAHAMIAJI HARAMU WANAO SAFIRISHWA KWENYE MABOKISI


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mizengo Kayanza Pinda ameitaka Idara ya Uhamiaji kuwa macho na wahamiaji haramu wanao  ingia nchini kwa njia ya kusafirishwa kwenye mabokis.
 Mheshimiwa kayanza panda ameya sema hayo wakati akiweka jiwe la msingi la jengo la Ofisi ya Uhamiaji Mkoani Ruvuma jengo linalo kadiriwa mpaka kumalizika kugharimu shilingi  milioni 712,111,068/=


Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda akikagua jengo la Uhamiaji lilioko katika kata ya Mahenge Manspaa ya Songea

 Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda akipokea Tarifa kutoka kwa kamishimishana wa Uhamiaji wa Utawala na fedha Taifa Piniel  Mgonja


Kamishana wa Uhamiaji wa Utawala na fedha Taifa Piniel  Mgonja amesema mafanikio ya ujenzi kwa ofisi za uhamiaji umetokana na gawio linalo tolewa na serekari hivyo kutokana  na punguzo kutoka asilimia 61% hadi asilimia41 % lita asili kasi ya miradi ya ujenzi ameiomba serekari kuendelea kutoa gawio kwa asilimia hiyo ya zamani ya asilimia 61% au zaidi ili kila mpaka wa nchi yetu uwe na ofisi bora

No comments:

Post a Comment