KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, December 16, 2013

HEBU TUONE MAZISHI YA NELSON MANDELA KIJIJINI KWAO AFRICA KUSINI

 Eneo lililo cha guliwa Rasimi na Rais wa kwanza wa Africa Kusini Hayati Nelison Mandela kwa ajili kuzikwa hilo linalo onekana ni Sanduku la Hayati Nelison Mandela
 Sehemu aliyo zikwa Rais wa kwanza wa Africa Kusini Nelisoni Mandela linavyo onekana kwa Mbali
 Wanajeshi wenye vyeo vya juu wakiwa wamebeba Mwili wa Rais wa kwanza wa Africa Kusini Hayati Nelison Mandela wakiwa katika Mwendo wa Heshima zote za Kijeshi
 Mila na Desturi ni Ngao ya Mwafrica hapo watu walio tayarishwa kwa ajili ajili ya mazishi kimila wakiwa wamevalia Rasimi tayari kwa Mazishi ya Kimila
 Kifaa malumu kilicho tayarishwa kwa ajili ya kuburuza Geneza la Rais wa kwanza wa Africa Kusini Hayati Nelison Mandela kikiburuzwa na Wanajeshi wenye vyeo vya juu
 Ndege za Kivita zikitoa Heshima ya Mwisho kwa Mwili wa Rais wa kwanza wa Africa Kusini Hayati Nelisoni Mandela huku zikiwa na Bendela ya Taifa ya Africa Kusini
 Heshima za kijeshi ziliendelea kutolewa wakati mwili wa Rais wa kwanza wa Africa Kusini Marehemu Nelson Mandela ukizikwa huku minga 21 iki pigwa
 Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa Jamuhuri ya Mungano akitoa salamu Rasimi kwa niaba ya watanzania baada ya kupewa nafasi katika Mazishi ya Hayati Rais wa Kwanza wa Afrca Kusini Hayati Nelsoni Mandel
 Nyumba za jadi eneo alilo zaliwa  Raisi wa kwanza wa Africa Kusini Hayati Nelison Mandela
 Nelison Mandela katika uhai wakeakiwa na familiayake  nyumbani kwake Africa Kusini
 Kama unavyo ona utamaduni wa Mwafrica uhuwa una bezwa mara nyingi lakini Hayati Rais wa Africa Kusini Nelison Mandela ameweza kuonyesha kuwa mtu haachi alisi amekubali kuzikwa kimila na heshima za kimila zilitumika, Unaona kitu kama shuka nyeupe hiyo siyo shuka bali ningozi ya Ngombe aliye pea.Kwa desturi ya Machifu wa Africa walikuwa wakivishwa Sanda ya Ngozi
 Mtoto wa Hayati Nelson Mandela akiwa ame Vaa Ngozi ya Chui tayari kwa kuongoza Mazishi ya Hayati Nelson Mandel
 Moja ya Tabia ya Chifu ni kuvaa shanga kichani hii ni alama inayo onyesha cheo cha kimila kwa mtu marufu huyo hapo juu ni Hayati Rais wa Jamuhuri ya Africa kusini Nelson Mandela katika Uhai wake

No comments:

Post a Comment