KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, December 16, 2013

UTAFITI WA SHIRIKA LA PADI NA USHAHIDI WAANDISHI WA HABARI MKOA WA RUVUMA kwa INSITUTE OF LONDON

Wandishi wakitoa ushahidi jinsi PAD  [Tanzania Mission to the poor and Disabled] inavyo weza kuwa saidia wazee mkoani Ruvuma Kutoka kulia ni Catherine Nyoni wa TBC na anaye fuatia ni Judith Lugoye wa Mwisho kushoto ni Mtafiti kutoka Insitute of London Juliut Tobiasi
Mtafiti kutoka UK Juliute Tobiasi  akihojiana na wandishi wa Habari kuhusu huduma inayo tolewa na PAD kwa Wazee mkoani Ruvuma,Aliye kaa Dirishani ni Mkurugenzi wa PAD Issaca Msigwa
Wageni kutoka UK wakiwa katika mapumuziko baada ya kupokea maelezo ya jinsi vyombo vya Habari Mkoa wa Ruvuma vinavyo shirikiana na PAD kuhamasisha juu ya wazee kupata haki zao za msingi
Mtalamu mtafiti kutoka UK Julute Tobiusi akiwa Manspaa ya Songea kupata maelezo ya kina juu ya shirika lisilo la kiserekari linavyo wajibika kwa kutoa huduma mhimu za wazee

No comments:

Post a Comment