KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, December 11, 2013

MTOTO AOKOTWA JALALANI SONGEA AKIWA MZIMA.MTOTO MMOJA ALIWA NA MBWA

MTOTO HUYU YUKO CHINI YA UNGALIZI WA HOSPITALI ANAHITAJI KULA NA KUVAA KAMA UNA NGUO AU CHOCHOTE KILE WASILIANA NA NDUGU JUDITH LUGOYE AKUPE HABARI KAMILI SIMU YAKE NI 0755 061 588
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma Benedict Ngaiza amewataka wanawake kujiepusha na vitendo vya ukatili hasa kwa watoto kwa kujiunga na uzazi wa Mpango.
Akimwakilisha Mganga Mkuu wa Mkoa Dr Peter Kiula ameya sema hayo baada ya motto mwenye umuri wa siku 7 kuokotwa katika Maeneo ya Mateka akiwa ame tupwa Jalalani
Dakitari  Peter Kiula amesema vitendo vya ukatili vina zidi kukithiri kutokana na wanawake kubeba Mimba bila Maandalizi,Amewaomba wanawake ili kuepukana na utupaji wa watoto wana paswa kujiunga na Uzazi wa Mpango 


Muguzi  Anna Chaula katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma amewaomba wana wake kushirikiana na Vyombo vya Dola kumubaini mama aliye Tupa Mtoto kwa kuwa wanao fanya vitendo hivyo ni wale tunao ishi nao,Makamu mwenyekiti wa Mtandao wa Police wana wake Fadhila Chacha amesema Mtandao wa Police wanawake una endelea kupambana na vitendo vya ukatili,Ndiyo Maana kila wakati huokoa uhai wawatoto.


Wananchi walio enda Hospitalini kushuhudia swala la mtoto aliye tupwa walibaki wa kibubujika na machozi huku wakilaani kitendo hicho na kuitaka dola kuchukua hatua kali dhidi ya Mama aliye tupa Mtoto

 Hebu angalia mtoto alivyo hana kilema kama unavyo mwona tujiulize kwa nini mama wa mtoto huyu amtupe mtoto wake akiwa kama alivyo, Jee tuseme huyu mama hana dini,au malezi ya familia yalikuwa hafifu,au kipato alicho nacho ni kidogo,au mambo ya ujana ya memtinga tujalibu kutafuta jibu pengine tuta weza kuwa okoa hawa watoto


Mkoa wa Ruvuma wakati ukiwa katika kilele cha siku 16 za kulaani vitendo vya ukatili dhidi ya mama na Mtoto tayari watoto watatu wameokotwa jalalani na mmoja kuliwa na mbwa eneo la mfaranyaki baada ya kutupwa na kuliwa nusu kiwiliwili na kubakizwa sehemu za kichwa natumbo

No comments:

Post a Comment