KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, December 25, 2013

JUMULA YA WATU 111 WAMEPOTEZA MAISHA MKOANI RUVUMA KWA AJALI ZA BARABARANI

Adam Nindi, Songea.
Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma limewataka Madereva wote wanaoendesha Mabasi ya Abiria kuwa na Tahadhari wakati huu wa Sikukuu za Krismas na Mwaka mpya ili kuepusha ajali ambazo zinaweza kuepukika.
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Nsmeki akieleza hali halisi ya ajali katika mkoa wa Ruvuma kwa mwakla 2012 na 2013 ameanisha kama ifuatavyo

Kwa kipindi cha Mwaka 2013 hadi mwezi November jumla ya Ajali zilizotokea ni  454   zilizosababisha vifo 111 
.  Ukilinganisha na mwaka 2012 ambapo jumula ya ajali zilikuwa 537 zilizo sababisha vifo vya watu 93
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Nsmeki amesema Ajali nyingi hutokea kutokana na Abiria kushabikia Mwendo mkali kwa Madereva pia Madereva kutokuwa waangalifu katika sehemu tete zinazosababisha ajali mara kwa mara.

No comments:

Post a Comment