KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, December 22, 2013

MABADILIKO YA UONGOZI HULETA HAUENI AU HUENDELEZA KUMGANDAMIZA MWANANCHI ?

 Ngao hii ni moja ya alama kuwa maamuzi yoye yanayo tolewa na serekari ni faida kwa wananchi wa Tanzania bara pia ni moja ya kielelezo cha utawala  bora wenye sheria zinazo lenga haki za Binadamu juu ya jambo linalo linalo amuriwa na serekali , jee ngao hii ina eleweka na Wananchi au dhumuni la Hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa na Ngao lina fahamika kinaganaga
 Viongozi wakisiasa huwa kama Mshumaa unapo waka huangaza watu na kutoa Nuru lakini ukizima ndivyo unavyo kuwa kwenye mioyo ya watu hebu tutathinini ni mema mangapi ameya fanya Emanuel John Nchimbi  na Mabaya mangapi kayafanya, Kumbikumbi akiona Taa hukimbilia kumbe ni mtege wa Binadamu jee kwa hili la Kiongozi Emanuel John Nchimbi Tuna semaje ?
 HATIMA YA KIONGOZI SAWA NA MSHUMAA AU NGOMA ISIYO WAMBWA ONA WASIFU     WA MH, EMANUEL JOHN NCHIMBI
Honourable
Emmanuel Nchimbi
MP
In office
7 May 2012 – 20 December 2013
President
In office
28 November 2010 – 7 May 2012
President
In office
13 February 2008 – 28 November 2010
Minister
In office
17 October 2006 – 13 February 2008
In office
6 January 2006 – 16 October 2006
Assumed office
December 2005
Preceded by
Majority
27,582 (59.09%)
Personal details
Born
24 December 1971 (age 41)
Nationality
Political party

Uchunguzi wa Habari za kuwa wafaa wananchi ni mhimu sana ,Hebu Tuone sasa tuna Maliza Mwaka yepi mazuri yaliyo fanywa na Wandishi wa Habari na Yepi mabovu yaliyo fanywa na Waandishi wa Habari. Tujitathini wenyewe tusipige katumba kuonyesha vidole kwa wenzetu Pale tulipo kosea tuji sahihishe na Pale tulipo fanya vizuri tuboreshe zaidi Bado siku chache za kumaliza Mwaka lakini lazima Waandishi Tujipange Hapo ni Mwandishi Mwandamizi Juma Nyumayo akiwa na Mkongwe wa Habari Adam Mzuza Nindi wakitathiminji mwaka 2013

No comments:

Post a Comment