KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, December 30, 2013

UCHAGUZI WA WAKILISHI KUTOKA MITANDAO YA KIRAIA TANZANIA KWENDA KATIKA BUNGE LA KATIBA

 Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Deuki kibanda akifungua mkutano wa uchaguzi wa wajumbe wa bunge la katiba jijini Dodoma
 Mwandishi wa Habari kituo cha Dodoma kutoka Star Tv Ndugu Twaha akichukua tarifa za Ufunguzi wa Wajumbe wa baraza la Katiba kutoka Mashirika yasiyo ya Kiserekari yatayo shiriki katika bunge la katiba
 Wajumbe kutoka mikoa ya Ruvuma Lindi na Mtwara wakichagua wajumbe wawili watakao wakilisha katika bunge la katiba
 Wajumbe kutoka Mashirika Mbalimbali yasiyo ya Kiserekali wakiwa jijini Dodoma kuchagua wa jumbe wakuwakilisha katika bunge la Katiba
 Mjumbe kutoka Mkoa wa Ruvuma Adamu Nindi akisikiliza kwa Makini hoja mbalimbali zilizo kuwa zikitolewa na wajumbe walio kuwa wakiomba kura
 Wajumbe wa Asasi mbambali kutoka Tanzania Bara na Tanzania Kisiwani
Wajumbe kutoka mikoa ya Mtwara na Lindi wakiwa Jijinni Dodoma kuchagua majina ya watu  201 yatakayo pelekwa mbele ya Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa uteuzi

No comments:

Post a Comment