KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, December 17, 2011

AZAKI ZISIZO ZA KISEREKARI ZA KUTANA DODOMA

Ufikapo Dodoma jambo la kwanza ni jinsi mji huo unavyo tunzwa katika hali ya usafi jambo hili ni jambo la kuigwa hata azaki zinapo fanya mikutano yake Dodoma ni juu ya Azaki kwenda kuhamasisha usafi katika sehemu zao Mtandao waRuvuma ujulikanao kwa jina la RUNECISO umeshuhudia usafi katika mji wa Dodoma hapo juu ni sehemu ya mgawanyo wa mpishano wa magari

Mtalamu kutoka Foundation Dar - es -salaam Omary Jecha akitoa mafunzo kuhusu mafanikio na changamoto zilizo ikabili Azaki nini kifanyike nani chakuongeza katika ukumbi wa Dodoma hotel

Washiriki kutoka Tanzania bara na visiwani walio hudhulia washa ya kutasimini kazi zilizo fanywa na kufadhiliwa na The Foundation Tasimini iliyo fanyika jijini Dodoma .

Mjumbe kutoka Mbinga Benedict Lwena akimsikiliza kwa makini mwezeshaji Omary Jecha kutoka Foundation .kulia kwake ni Makamu Mwenyekiti wa Mtandao RUNECISO ndugu Adam Nindi kutoka mkoa wa Ruvuma wakiwa katika ukumbi Dodoma Hotel

No comments:

Post a Comment