KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, December 28, 2011

MAMA AUWAWA KIKATILI ATUPWA PORINI SONGEA NDUGU HAWAJAPATIKANA

Mama aliye uwawa kikatili na maiti yake kutupwa Porini eneo la Luwiko Songea mpaka sasa haja patikana ndugu yake ,mama ni mnne mweusi ana kadiriwa kuwa na miaka kati 30 na 35 maiti ipo Hospitali ya Mkoa Songea yeyote aliye potelewa na Ndugu atoe Tarifa Police Songea

No comments:

Post a Comment